01/04/2022
Habari...!?
Fahamu tiba asili ya uvimbe katika milija ya uzazi na mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke..!!
Fatilia nakala hii๐
VIRUTUBISHO HIVYO VYA MIMEA VITAKUSAIDIA WEWE MWENYE CHANGAMOTO KATIKA MFUMO WA UZAZI ,...KUREKEBISHA HORMONE YA ESTROGEN, KUPEVUSHA MAYAI, KUZIBUA UCHAFU KWENYE MILIJA YA UZAZI, KUYEYUSHA UVIMBE, KUPUNGUZA MAUMVIVU WAKATI PERIOD NA TENDO LA NDOA, KUIMALISHA AFYA YA UZAZI KWA UJUMLA KWA KUTUMIA ๐๐๐
ALOE BERRY NECTAR / VERA GEL, MULTI - MACA, VITOLIZE FOR WOMEN NA ROYAL JELLY.
Virutubisho vilivyotokana na Aloe Vera, Mzizi wa Maca, Matunda na Asali. Inatupatia Vitamin A, B, C, E & B12 na Madini ya Zinc, Selenium, Calcium, Iron, Copper, Magnesium, Sodium, Amino na Folic Acid.
FAIDA ZAKE KIAFYA
1.Husaidia kusafisha mfumo wa mwili kwa kutoa sumu, taka na mafuta mabaya mwilini.
2. Husaidia kuimalisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
3. Husaidia kurekebisha hormone ya Estrogen kwa wanawake wenye hormone Imbalance.
4. Husaidia kuzibua uchafu kwenye mirija ya uzazi, kuimalisha afya ya mfuko wa kizazi na kibofu cha mkojo.
5. Husaidia kupevusha Mayai na kupunguza maumivu ya wakati wa hedhi au kukoma kwa hedhi.
6. Husaidia kuzuia ukuaji wa uvimbe kwenye kizazi na kuuyeyusha uvimbe chini ya 2.5Cm na kuua bacteria wa fangasi sehemu za siri.
7. Husaidia kuimalisha afya ya Moyo, Ubongo, Misuli, Mifupa na Mzunguko wa damu, kupunguza uchovu na kuchochea hisia.
https://wa.me/+255678512642?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Afyayauzazimwanamke%2B%20na%20matumizi