22/07/2026
Figo๐ญ๐ Figo๐ญ๐ Figo๐ญ๐
Unaamuona huyu baba? Huyu figo zake zimefeli kabisa, yaani ESRD. Figo zikifeli, sumu hujaa mwilini. Sumu hizo huleta mabadiliko mbalimbali k**a ya ngozi k**a unavyoona kwenye hii picha. Matatizo mengine ni gesi, kiungulia, vichomi, kuchoka sana, presha kupanda, kutokukojoa; yaani matatizo ni mengi sana.
๐ Figo hazifeli siku moja bali ni mchakato wa muda mrefu.
๐ Nenda kapime figo leo k**a uko kwenye makundi yafuatayo: โข Una tumbo.
โข Unakunywa soda, pombe, nishati (energy drinks).
โข Unavuta sigara, sh**ha, bangi na madawa yote ya kulevya.
โข Una presha au kisukari.
โข Unatumia madawa ya maumivu kiholela. ๐
โข Haunywi maji mengi. ๐ง
โข Unakula vitu vya kukaanga na kuchoma mara kwa mara.
โข Unaongeza chumvi ๐ง kwenye chakula, yaani chumvi mbichi kwenye nyama, mishikaki, mahindi n.k.
โข Unatumia madawa ya magonjwa ya muda mrefu k**a ya presha, kisukari, saratani, HIV n.k.
๐ Kumbuka: Figo zikifeli USIPOFANYA dialysis UTAKUFA. Linda sana figo zako. Matibabu ya figo ni gharama sana.
0791 498 998 David Kajale Meta Meta for Business Facebook