26/05/2026
Mambo ambayo mama mjamzito anashauriwa kuachana nayo wakati wa ujauzito.
1.Unywaji wa pombe
2.Uvutaji wa sigara
3.Kufanya Mazoezi makali ya mwili
4.Kazi ngumu hasa zinazojihusisha na kuinama.
5. Matumizi ya vipodozi na vinywaji vyenye kemikali hatari kwa afya ya mtoto.
6. Kula vyakula vya kusindikwa
Je! Unakumbuka kitu kingine? Andika kwenye comment watu wajifunze.