08/06/2026
"Figo kujaa maji" mara nyingi huitwa hydronephrosis, hali ambayo mkojo hushindwa kutoka vizuri kwenye figo na hivyo kusababisha figo kuvimba.
Dalili za figo kujaa maji
Maumivu ya mgongo au ubavuni (chini ya mbavu)
Maumivu wakati wa kukojoa
Kukojoa mara kwa mara au kwa shida
Mkojo kuwa na damu
Homa (hasa k**a kuna maambukizi)
Kichefuchefu na kutapika
Kuvimba miguu, vifundo vya miguu au uso
Uchovu na udhaifu
Madhara yake
Ikiwa haitatibiwa, inaweza kusababisha:
Uharibifu wa figo wa kudumu
Kupungua kwa uwezo wa figo kufanya kazi
Maambukizi ya mara kwa mara kwenye njia ya mkojo
Kushindwa kwa figo kufanya kazi (kidney failure) katika hali kali
Ikiwa una maumivu makali ya ubavuni, homa, au unaona damu kwenye mkojo.
Kwa ushauli na tiba
Sigara/Whatsp +255 715 518 376