03/08/2026
Nikiwa na machozi na moyo mzito napenda kuwataarifu kuwa jana 2 August tumepata ajali ya bus kwa bus yaliyogongana Uso kwa uso maeneo ya Bahi, Dodoma mida ya saa 12 asubuhi
Tulikuwa kwenye bus la Isamilo kutoka Mwanza kwenye mkutano wa makambi (ya kisabato) kurudi Dar es salaam k**a kwaya ya KINYEREZI SDA
Katika ajali hiyo mbaya nimepoteza mke wangu kipenzi Elizabeth😭😭😭😭😭
Wengine 7 wamefariki pia na wengine wanaendelea na matibabu
Hili ni kubwa sana kwangu.. hata sijui nisemeje.. Mungu tu tungepota wote kwa hali ilivyokuwa
Hata katika hili Mungu ana makusudi mema lakini inauma sana..
RATIBA:
Kesho jumanne 4/8 saa 5:00 asubuhi mwili utaangwa Dodoma Central SDA church
Ibada kabla ya mazishi itafanyika alhamisi Saa 5 asubuhi Kinyerezi SDA church - Dar es salaam
Mungu aliyenipa sweet soul ameruhusu hili litokee, jina lake lijimidiwe
MyLove😭😭😭😭