DR IRENE

DR IRENE UNAPATA SULUHISHO LA MAGONJWA YOTE YA UZAZI

26/08/2025

Hello,Ni sahihi unapitia changamoto za uzazi
Lakini usihofu tena,naenda kukupa elimu bure kuhusu afya ya uzazi ya mwanamke;
Kukosa ute wa uzazi
Hedhi zaidi ya mara mbili
Uchafu ukeni
Uvimbe kwenye kizazi
UTI za mara kwa mara
Tuwasiliane 0743364444

HAYA TUONGEZE UTE NA HAYA MATUNDA,,,SIO ULE MOJA NI YOTE,,,UNASHINDWA AU UNAPOKAA HAKUNA NIAMBIE NIKUPE DOZI MOJA KIBOKO...
22/12/2024

HAYA TUONGEZE UTE NA HAYA MATUNDA,,,SIO ULE MOJA NI YOTE,,,UNASHINDWA AU UNAPOKAA HAKUNA NIAMBIE NIKUPE DOZI MOJA KIBOKO 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NI NINI?Saratani ya shingo ya kizazi ni aina ya saratani inayoanzia kwenye shingo ya kizazi...
22/12/2024

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NI NINI?
Saratani ya shingo ya kizazi ni aina ya saratani inayoanzia kwenye shingo ya kizazi, sehemu ya chini ya kizazi inayounganisha na uke. Kimsingi, inasababishwa na maambukizi ya mara kwa mara na aina hatari ya virusi vya papiloma vya binadamu (HPV), ambavyo husababisha ukuaji usio wa kawaida wa seli.

SABABU ZINAZOMUWEKA MWANAMKE KATIKA HATARI YA KUPATA SARATANI HII:
Maambukizi ya HPV
Uvutaji sigara
Mfumo dhaifu wa kinga
Kuanza ngono katika umri mdogo chini ya 13
kuwa na wenza wengi au kujamiiana na mtu mwenye wapenzi wengi
Matumizi ya muda mrefu ya vidonge vya kudhibiti uzazi
Historia ya Maambukizi ya Zinaa
Historia ya saratani ya kizazi katika familia
Ni muhimu kwa wanawake kujua sababu hizi za hatari na kuchukua hatua za kujikinga, ikiwa ni pamoja na kufanya uchunguzi wa mara kwa mara na kujenga tabia bora za afya. Kufanya vipimo vya mara kwa mara vya uchunguzi wa shingo ya kizazi ni njia muhimu ya kugundua mapema mabadiliko ya seli na kushughulikia tatizo hilo.

SASA UTAPATA MAUMIVU MPAKA LINI,,,ENDELEA KUVUMILIA CHANGAMOTO NA KUJIONEA HURUMA MAMA,,MADHARA YAPO MAZURI TUH YANAKUJA...
18/12/2024

SASA UTAPATA MAUMIVU MPAKA LINI,,,ENDELEA KUVUMILIA CHANGAMOTO NA KUJIONEA HURUMA MAMA,,MADHARA YAPO MAZURI TUH YANAKUJA😭😭😭😭😭,,,UTATAMANI SIJUI UFANYEJE UCHANGISHE UKOO,,WATAKUPA ???

18/12/2024

UCHAFU UNATAKIWA KUTOKA,,KAMA UNATUMIA DAWA NA HAUTOKI HIO SIO DAWA,,,, HAKIKISHA UKITUMIA DOZI UCHAFU UNATOKA NA KUSAFISHIKA IVO🔥🔥🔥🔥

UNAHANGAIKA NI NAMNA GANI UFANYE,,,MY DEAR BAWASIRI INAZIBA NJIA YOTE YA HAJA KUBWA NA MATIBABU NI OPERATION YA KUKATWA ...
18/12/2024

UNAHANGAIKA NI NAMNA GANI UFANYE,,,MY DEAR BAWASIRI INAZIBA NJIA YOTE YA HAJA KUBWA NA MATIBABU NI OPERATION YA KUKATWA KINYAMA,,,😭😭😭😭 GHARAMA NI KUBWA VIPENZ,,,WAHI MAPEMA NIKUSAIDIEEE 🔥🔥🔥🔥🔥

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirik...
16/12/2024

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

A.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
B.DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
C.ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka ki

MADHARA YA P.I.D KWA WANAWAKEPID NI NINI DALILI MADHATA NA TIBA YA UGONJWA HUO PID(Pelvic Inflammatory Disease) Ni maamb...
14/12/2024

MADHARA YA P.I.D KWA WANAWAKE

PID NI NINI DALILI MADHATA NA TIBA YA UGONJWA HUO PID(Pelvic Inflammatory Disease) Ni maambukizi katika via vya uzazi) Maambukizi haya yanaweza kuletwa na vyanzo mbali mbali k**a vile
✍️ •Magonjwa : kisonono ,Kaswendwe' Uti au fangasi rudizi
✍️•Utoaji Mimba
✍️•Matumizi ya madawa kiholela
✍️• Vizuizi mimba
✍️•Kua na wapenzi wengi
✍️•Mtindo wa maisha(Ulaji mbovu na kutokuzingatia usafi) na nk

HIZI NI BAAADHI YA DALILI ZA PID NI UGONJWA HATARI SANA KWA WANAWAKE NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA
1.Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2.Kuwashwa sehemu za siri
3.Uke kutoa harufu mbaya
4.Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5.Uke kuwa wa ulaini sana
6.Maumivu wakati wa tendo la ndoa 7.Kuvurugika Kwa hedhi
8.Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi 9.Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
10.Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula .

MADHARA YA PID
👉•Ugumba
👉•Kansa ya shingo ya kizazi
👉•Mirija ya uzazi kuziba
👉•Majeraha kwenye
Mawasiliano,,0743364444

*KUTOKWA NA HEDHI NYINGI NA MABONGE MABONGE* *Kutokwa na hedhi nyingi na mabonge mabonge* ni hali inayoweza kusababishwa...
13/12/2024

*KUTOKWA NA HEDHI NYINGI NA MABONGE MABONGE*

*Kutokwa na hedhi nyingi na mabonge mabonge* ni hali inayoweza kusababishwa na sababu mbalimbali, k**a vile:

☑️Uvimbe katika via vya uzazi, k**a vile fibroid au polyp

☑️ Mvurugiko wa homoni mwilini, k**a vile kuzarisha homoni nyingi au kidogo za tezi ya thyroid

☑️ Matumizi ya njia za uzazi wa mpango, k**a vile vifaa vya ndani ya kizazi au vidonge vya dharura k**a vile p2

☑️ Mimba iliyoharibika au kujipandikiza nje ya mji wa mimba

☑️ Maambukizi kwenye uzazi k**a vile PID

☑️ Kukaribia kwa kukomaa kwa hedhi(menopause)

☑️Saratani ya mlango wa uzazi

🔴Ili kujua sababu halisi ya tatizo lako ni vyema ukamuona dacktar kwa uchunguzi zaidi,

Daktari anaweza kukupima damu au kufanya ultrasound ili kugundua chanzo cha Kutokwa na hedhi nyingi na mabonge mabonge kulingana na sababu

🔴Kutokwa na hedhi nyingi na mabonge mabonge kunaweza kusababisha upungufu wa damu mwilini,

*kwa mwanamke mwenyeshida hii nanatakiwa kutibia mapema kabla hajapata madhara

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 13:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DR IRENE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category