04/08/2026
Sababu za mwanaume kushindwa kutungisha mimba ni nyingi, ni
1. Idadi ndogo ya mbegu za kiume (low s***m count).
2. Mbegu kutokuwa na uwezo mzuri wa kuogelea (poor s***m motility).
3. Umbo lisilo la kawaida la mbegu za kiume (abnormal s***m morphology).
4. Varicocele – Varicocele, ambayo inaweza kuathiri uzalishaji wa mbegu.
5. Maambukizi kwenye mfumo wa uzazi, k**a baadhi ya magonjwa ya zinaa.
6. Matatizo ya homoni, yanayoathiri uzalishaji wa mbegu.
7. Kuziba kwa njia za kupitisha mbegu za kiume.
8. Matumizi ya pombe kupita kiasi, sigara, au dawa za kulevya.
9. Unene kupita kiasi na mtindo usiofaa wa maisha.
10. Magonjwa sugu au matumizi ya baadhi ya dawa, ambayo yanaweza kuathiri uwezo wa uzazi.
K**a mwanandoa umekuwa ukijaribu kupata ujauzito kwa zaidi ya miezi 12 bila mafanikio (au zaidi ya miezi 6 ikiwa mwanamke ana umri wa miaka 35 au zaidi), k**a unachangamoto yoyote ya uzazi nipigie au nichek Whatsapp 0654.693.617
❤️