Medix Hospital care

Medix Hospital care Medix Hospital Care
Dar-es-salaam,Tanzania
Dr, Yasin
CEO& FOUNDERof Medix hospital care
contact

🛑BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI▶️kuwashwa sehemu za siri▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa▶️Kuhisi kuwaka moto ...
22/01/2026

🛑BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI

▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

⚠️Kama una dalili kati ya hizo chukua hatua sasa

🔴Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa
🔴Kwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?

ILI KUPATA na MATIBABU ya Matatizo ya Ngozi

USIKATE TAMAA, SULUHISHO NA TIBA YA TATIZO LAKO

Contact
0798535266

FULL BODY CHECK UP👇👇Tuna toa ofa ya upimaji wa mwili mzima kwa Tsh 30,000/=✔  TIBA KWA MARADHI/MAGONJWA K**A 👇👇✅Uvimbe✅s...
22/01/2026

FULL BODY CHECK UP👇👇

Tuna toa ofa ya upimaji wa mwili mzima kwa Tsh 30,000/=✔

TIBA KWA MARADHI/MAGONJWA K**A 👇👇
✅Uvimbe
✅stroke
✅Bawasiri
✅pumu
✅Mifupa
✅Homa ya ini
✅uzazi
✅Nguvu za kiume
✅Madonda ya tumbo

Tunapatikana Dar es salaam na mikoa yote ✔ Kumuona daktari na ushauri ni bure✔

Contact
0798535266

KARIBU UMALIZE TATIZO LA P.I.DTambua dalili za PID itakusaidia kufahamu PID inakuwaje👇👇👇👇👇👇👇👇👇*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA Y...
22/01/2026

KARIBU UMALIZE TATIZO LA P.I.D

Tambua dalili za PID itakusaidia kufahamu PID inakuwaje👇👇👇
👇👇👇👇👇👇
*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE*
👇

*Pelvic Inflammatory Disease*

*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo*-:

✔*Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi* .
✔*Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua .
✔Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe* .

*DALILI ZA UGONJWA WA PID*
✅Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa*
✅Kuwashwa sehemu za siri*
✅ Uke kutoa harufu mbaya*
✅ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
✅ Uke kuwa wa ulaini sana*
✅Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
✅Kuvurugika Kwa hedhi
✅Kutokwa majimaji* *ukeni* *kupita kiasi*
✅Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa*
✅Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula*
*MADHARA YA PID*
• *Ugumba*
• *Kansa ya shingo ya kizazi*
• *Mirija ya uzazi kuziba*
• *Majeraha kwenye* *mirija* *ya uzazi*

Address

Dar-es-salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Medix Hospital care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share