Nathaniel Kenny

Nathaniel Kenny Healthcare

TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO
Kutibu maradhi Tofauti Ambayo yanatibika POPOTE ulipo

~~Unapata maumivu ya mgongo na kiuno. Kuna watu wanateseka sana na shida za mifupa na viungo, usikae kimya suluhisho lip...
30/08/2023

~~Unapata maumivu ya mgongo na kiuno. Kuna watu wanateseka sana na shida za mifupa na viungo, usikae kimya suluhisho lipo,Tuna tiba asili kabisa na maalumu kwa ajili ya kuondoa maumivu ya viungo na mifupa, kuzuia kulika kwa mifupa na viungo.

Kazi za virutubisho vya mifupa na viungo.
1.Huongeza ute ute kwenye maungio.
2.Huondoa changamoto ya Arthritis.
3.Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya.
4.Huondoa maumivu ya magoti, nyonga na mgongo.
5.Husaidia mifupa kuwa imara pamoja na vidonda kupona haraka.
6.Huongeza Glucose Amine na Chrondroitin kwenye maungio.

Virutubisho hivi ni vizuri kwa wenye umri mkubwa na wenye matatizo ya Mifupa na viungo, Kwa wale wanaofanya mazoezi ya viungo hii tiba inawafaa sana kuwasaidia viungo kukaa sawa na kutopata matatizo yoyote..
Wasiliana nasi kwenda..
_0653238655 /0692323567

DALILI ZA MIMBA CHANGA.1.Kutoona siku zako au Hedhi yako kwa Mjamzito.2.Kupata kichefu chefu na kutapika kwa Mjamzito.3....
30/08/2023

DALILI ZA MIMBA CHANGA.

1.Kutoona siku zako au Hedhi yako kwa Mjamzito.
2.Kupata kichefu chefu na kutapika kwa Mjamzito.
3.Kuchoka Sana Mara kwa Mara kwa Mjamzito.
4.Kutokwa na Damu k**a Matone kwa Mjamzito .
5.Kulala Mara kwa Mara kwa Mjamzito
6.Kutokwa na Ute mwingi Ukeni kwa Mjamzito.
7.Matiti/Maziwa kuuma kwa Mjamzito.
8.Kubadilika kwa Harufu kwa Mjamzito.
9.Chuchu Kubadilika Rangi na kuwa nyeusi kwa Mjamzito.
10.Matiti kuwa makubwa zaidi na kuongezeka 11.Uzito kwa Mjamzito.
12.Maumivu ya Tumbo ya kubana na kuachia kwa Mjamzito.
13.Maumivu ya Kiunoni kwa Mjamzito.
14.Maumuzi ya Mgongoni karibia na kiunoni kwa Mjamzito.
15.Mapigo ya Moyo kwenda mbio ktk kipindi cha Ujauzito.
16.Kujaa Mate Mdomoni mwa Mjamzito.
17.Mdomo kuwa Mchungu kwa Mjamzito.
18.Mjamzito kula Udongo.
19.Tumbo la Mjamzito kujaa Gesi.
20.Kupunguza hamu ya kufanya Tendo la Ndoa ktk kipindi cha Ujauzito.
21.Kukojoa Mara kwa Mara katika kipindi cha Ujauzito.
22.Kupata kiungulia ktk kipindi cha Ujauzito.
23.Mjamzito kuwa na 24.Chunusi Usoni.
25.Mjamzito kuwa Mstari Tumboni ambao unatoka sehemu ya chini ya kifuani mpaka kwenye sehemu ya chini ya Kitovu karibia na mfupa wa Kinena.
26.Tumbo la Mjamzito kuwa na Michirizi ktk kipindi cha Ujauzito.
27.Mjamzito kutokwa na Damu Puani au kwenye Fizi/Meno katika kipindi fulani Cha Ujauzito.
Baadhi ya Wajawazito hupata Bawasiri au vinyama vinavyokuwepo kwenye njia ya haja kubwa.
28.Mjamzito Kupata maumivu ya Kichwa.
29.Mjamzito kukosa Usingizi.
Kubadilika kwa mhemuko au Mudi.
30.Tumbo kuwa kubwa na kuongezeka katika kipindi cha Ujauzito Kutokana na ukuaji wa Mtoto Tumboni na nk.

HEALTH SOLUTION... 0692323567 /0653238655

30/05/2023

Janga la Bawasiri linatesa sana Ilaa linatibika Ndugu Amua Sasa Uweze kusuluhisha Changamoto hiii

Tupigie kwa Namba 0692323567 Kwa Maswali au maelezo zaidi

*TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO (MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)*Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu we...
21/05/2023

*TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO (MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)*

Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote.

NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI

1: UMRI MKUBWA
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea.

2: KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu hali hii husababisha mishipa kusinyaa ambayo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi.

3: DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia

*TIBA YA GANZI*

▶️ MICRO2CYCLE

• Hii ni tibalishe asili ya kupambana na tatizo hili bila madhara.

• Imetengenezwa na mitishamba mitatu yenye uwezo mkubwa sana wa kufungua mishipa midogo midogo ya damu ambayo inapoziba au inapokua ndio chazo cha tatizo hili.

• Huzuia damu isivilie kwenye mishipa hivyo huondoa hatari ya kiharusi.

• Huuhisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupita vizuri.

▶️ ZAMINOCAL

• Inafaa sana kuifanya damu Iwe nyepesi hivyo husaidia kuondoa tatizo la ganzi k**a ikitumika pamoja na Micro2cycle.

• Huimarisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupenya kiurahisi.

• Huondoa maumivu yote na hali ya ganzi kutoweka kabisa.

Adresse

Democratic Republic Of The

Téléphone

+255692323567

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Nathaniel Kenny publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Raccourcis

Partager