Lubonji Wa Lubonji

Lubonji Wa Lubonji L.W.L MUSIC & INTERNATIONAL NEWS

FALLY IPUPA / HERITIER WATANABE WAKO STUDIOFALLY IPUPA / KERITIER WATANABE EN STUDIOFally Ipupa na Héritier Watanabe wam...
03/08/2026

FALLY IPUPA / HERITIER WATANABE WAKO STUDIO
FALLY IPUPA / KERITIER WATANABE EN STUDIO

Fally Ipupa na Héritier Watanabe wamekutana studio, katika mazingira yaliyojaa ubunifu na mvuto wa siri.
Mkutano huu wa wawili hao, ambao si wa kawaida na una uzito wa kipekee, unaashiria ujio kwa kazi Babkubwa, labda hatua mpya katika Muziki ambayo mashabiki wameisubiri kwa hamu kwa miaka mingi.

Wasanii hawa wawili, mabingwa wa urithi wa rumba ya kisasa, wanaonekana kutengeneza kitu chenye uzito, kilichosukwa kwa ustadi na kilichojaa msukumo wa ndani.

Kuna jambo linapikwa, na dalili zote zinaonyesha kuwa litakuwa tukio la kukumbukwa katika historia ya muziki wa Congo.

Version française :

Fally Ipupa et Héritier Watanabe se sont retrouvés en studio, dans une atmosphère chargée de créativité et de mystère.
Cette rencontre, rare et hautement symbolique, laisse présager l’émergence d’une œuvre majeure, peut‑être même un tournant artistique que les mélomanes attendaient depuis des années.

Les deux virtuoses, héritiers d’une tradition musicale exigeante, semblent façonner quelque chose de dense, de travaillé, de profondément inspiré.

Un projet se prépare, et tout indique qu’il portera la marque des grandes heures de la rumba congolaise moderne.

BABA L.W.L

FELIX WAZEKWA NA MDOGO WAKE JP LUKOMBO Mi CorazonJP Lukombo, anayefahamika kwa Jina la Aka (Mi Corazon), ni ndugu mdogo ...
03/08/2026

FELIX WAZEKWA NA MDOGO WAKE JP LUKOMBO Mi Corazon

JP Lukombo, anayefahamika kwa Jina la Aka (Mi Corazon), ni ndugu mdogo wa damu wa Félix Wazekwa.
Ni mtu wa karibu sana na kaka yake, na amekuwa mshirika muhimu katika mzunguko wa watu wanaomzunguka Msanii huyo.

Katika historia ya Group (Cultur’A Pays‑Vie), Wanamuziki waliowahi kupita Group hilo husikika wakisema kwamba JP Lukombo ndie alie na ushawishi mkubwa, kiasi kwamba mara nyingine alishiriki katika utoaji wa maamuzi ya ndani pale kaka yake alipokuwa hayupo au alipohitaji mtu wa kuamini.

Uhusiano wao wa undugu, uliojengwa juu ya uaminifu na heshima, ulipewa heshima ya kipekee mwaka 1997, wakati Félix Wazekwa alipotoa Album (Pauvre Mais...) na kutupia Wimbo “Mi Corazon” k**a zawadi na kumbukumbu kwa JP Lukombo.

Version Française :

JP Lukombo, affectueusement surnommé Mi Corazon, est le frère cadet biologique de Félix Wazekwa.
Figure discrète mais incontournable dans l’entourage de l’artiste, il occupe une place privilégiée au sein du cercle rapproché de Cultur’A Pays‑Vie.

Sa proximité avec Félix Wazekwa est telle que plusieurs anciens sociétaires de l’orchestre ont souvent témoigné de son influence : selon eux, JP Lukombo participait activement aux décisions internes, allant parfois jusqu’à orienter certains choix stratégiques lorsque son frère n’était pas disponible.

Cette relation fraternelle, faite de confiance et de loyauté, a été symboliquement immortalisée en 1997 lorsque Félix Wazekwa lui dédia la chanson “Mi Corazon”, incluse dans l’album « Pauvre, mais… ».
Un hommage musical qui souligne l’importance de JP Lukombo dans la vie personnelle et artistique du Leader.

BABA L.W.L

02/08/2026

MPIGA GITA WA ZAMANI WA FALLY IPUPA (ALVARITO SOLO) AMEFARIKI DUNIA

LE DÉCÈS DE ALVARITO SOLO, ANCIEN SOLISTE DE FALLY IPUPA.

Nkondi Alvarito, anayefahamika k**a Alvarito Solo, ni miongoni mwa wapiga gitaa wachache wa Congo ambao ustadi wao hauishii kwenye ujuzi tu, bali unafikia kiwango cha fasihi ya sauti.

Alizaliwa Jijini Kinshasa, katika mazingira ya Muziki yaliyokuwa yakichemka kila kona la jiji.

Katika miaka ya tisini, aling’aa wakati akichangia na Group (Stars Musica) Jijini Kinshasa Lingwala, akionyesha kipaji cha kipekee kilichowavutia wakongwe wa rumba.

Baadaye alijiunga na Wenge El Paris ikiongozwa na Marie‑Paul, kadhalika na Wenge Kumbela ya Aimé Bwanga, ambako alithibitisha kuwa MPIGA Solo Gita wa kiwango cha juu.

Safari yake ilipata hadhi ya juu zaidi alipoingia katika F’Victeam, Group lake Fally Ipupa.

Hapa alitunga wimbo wake maarufu (Rosendane), na akashiriki katika nyimbo kadhaa za Album (Libre Parcours) k**a Toi et Moi, Original, na nyimbo za nyingi zilizojaa ustadi wake wa kipekee.

Gitaa lake lilikuwa na mchanganyiko wa huzuni, uzuri na hisia za ndani ambazo ziligusa mioyo ya wasikilizaji.

Mbali na hapo, Alvarito alishirikiana na Héritier Watanabe, Pierrette Adams, na Wasanii wengine wa Congo na nje ya nchi.

Aliunda pia Group lake mwenyewe wakati akiwa Nchini Angola, akionyesha dhamira ya kueneza rumba ya Congo kimataifa.

Lakini nyuma ya mafanikio haya, Alvarito alikuwa akipambana na shinikizo la damu kwa muda mrefu.

Tiba za hospitali hazikumletea nafuu. Katika kipindi hiki cha majaribu, aliamua kutafuta uponyaji wa kiroho kupitia makanisa ya Walokole.

Hatua hii haikuwa ya ghafla; ilikuwa matokeo ya safari ya ndani ya kutafuta amani.

Hatimaye akawa mwimbaji wa injili, akigeuza gitaa lake kuwa chombo cha kumtukuza Mungu.

Tarehe 1 Agosti 2026, Alvarito alifariki dunia huko Kinshasa, na Muziki wa Congo ukaingia katika huzuni kubwa.

Wasanii, Marafiki na Mashabiki walimkumbuka k**a Mtu mnyenyekevu, mwenye moyo wa upendo na kipaji kisicho na kifani.

Leo, urithi wake unaendelea kuishi katika sauti za gitaa zinazopigwa mitaani ya Jiji la Kinshasa.

Kila mpigo wa nyuzi unabeba kumbukumbu yake.
Alvarito Solo anabaki kuwa mfano wa Msanii wa Congo anayefanya gitaa liimbe k**a sauti ya binadamu, na sasa sauti hiyo inaendelea kumtukuza Mungu.

Version Française :

Nkondi Alvarito, connu sous le nom d’Alvarito Solo, appartient à cette lignée rare de guitaristes congolais dont la virtuosité ne relève pas seulement de la technique, mais d’une véritable poétique sonore.

Né à Kinshasa, il grandit dans l’effervescence musicale de la capitale, où les guitares de Lingwala, Bandalungwa et Matonge façonnaient les destins artistiques.

Dans les années 1990, il se distingue au sein du groupe Stars Musica, formation emblématique de la commune de Lingwala.

Son jeu, déjà empreint d’une sensibilité singulière, attire l’attention de figures majeures de la rumba.

Il rejoint alors Wenge El Paris de Marie‑Paul, où il affine son style, puis Wenge Kumbela d’Aimé Bwanga, formation dans laquelle il confirme son statut de soliste d’exception.

Sa carrière prend une dimension supérieure lorsqu’il intègre F’Victeam, le groupe de Fally Ipupa.

Là, il compose le célèbre titre (Rosendane), devenu une pièce incontournable du répertoire moderne.

Il participe également à plusieurs morceaux de l’album Libre Parcours, notamment Toi et Moi, Original, et divers génériques où sa guitare, à la fois mélancolique et lumineuse, impose une signature immédiatement reconnaissable.

Outre ces collaborations, Alvarito travaille avec Héritier Watanabe, Pierrette Adams, et accompagne divers artistes de la scène kinoise et internationale.

Il fonde même un groupe en Angola, témoignant de son ambition de porter la rumba au-delà des frontières.

Cependant, derrière cette ascension artistique se cache une lutte silencieuse : Alvarito souffrait depuis longtemps d’une hypertension sévère, affection qui minait progressivement ses forces.

Malgré les traitements médicaux, son état ne s’améliorait pas.

Dans cette période de fragilité, il se tourne vers les églises de réveil, cherchant une guérison spirituelle.

Sa démarche n’est pas opportuniste : elle traduit une quête intérieure profonde.

Il finit par se convertir, devenant chantre de l’Éternel, transformant sa guitare en instrument de louange.

Le 1er août 2026, il s’éteint à Kinshasa, laissant la communauté musicale dans une stupeur douloureuse.

Les hommages affluent : réalisateurs, musiciens, anciens collègues évoquent un homme humble, généreux, d’une loyauté rare et d’un talent hors du commun.

Son décès marque la disparition d’un soliste dont la guitare semblait parfois parler à la place du cœur humain.

Aujourd’hui, son héritage résonne encore dans les rues de Lingwala, Bandal, Matonge.

Chaque arpège qui s’élève dans une répétition, un studio ou un concert porte quelque chose de lui.

Alvarito Solo demeure l’incarnation de cette rumba qui sait pleurer, sourire, prier et célébrer une rumba qui, grâce à lui, continue aussi de glorifier Dieu.

BABA L.W.L

FERRÉ GOLA KAKATAA CHIKITO ASIPANDE STEJINIFERRÉ GOLA REFUSE DE FAIRE MONTER CHIKITO SUR LE PODIUM.Jana Mjini Kolwezi, k...
02/08/2026

FERRÉ GOLA KAKATAA CHIKITO ASIPANDE STEJINI

FERRÉ GOLA REFUSE DE FAIRE MONTER CHIKITO SUR LE PODIUM.

Jana Mjini Kolwezi, kwenye SHOW ya kifahari ya Ferré Gola, uwepo wa Chikito miongoni mwa hadhira haukupita bila kutambuliwa.

Wapenzi wa muziki walimshinikiza Le Padre amwalike jukwaani.
Lakini Ferré, kwa utulivu wenye mamlaka na heshima, alisema: «Chikito anabaki kuwa mdogo wangu, lakini kwa sasa yeye si tena Memba wa Group letu.
Kwa maana hiyo Siwezi kumwalika apanda Stejini».
«Te azalaka na orchestre na biso te».

Maneno mafupi, lakini yenye uzito mkubwa — yakitenganisha upendo wa kindugu na nidhamu ya kisanii.

Version Française :

À Kolwezi, lors du show fastueux de Ferré Gola, la présence de Chikito au sein du public ne passa nullement inaperçue.

La ferveur des mélomanes, presque unanime, pressa Le Padre de convier son ancien Musicien à monter sur scène.

Mais Ferré, avec ce calme empreint d’autorité et de respect qui le caractérise, répondit avec une sobriété lourde de sens :
«Chikito demeure mon cadet, mais à ce jour il n’est plus membre de notre groupe.
De ce fait, je ne puis l’inviter à rejoindre la scène».

(Te azalaka na orchestre na biso te)

Quelques mots seulement mais des mots chargés d’un poids considérable.

Ils tracent une frontière nette entre l’affection fraternelle et la rigueur artistique, rappelant que l’art, même lorsqu’il naît de liens profonds, obéit à une discipline qui ne souffre ni l’improvisation ni la confusion des rôles.

Toa Maoni yako
Ta réaction

BABA L.W.L

02/08/2026

WENGE MUSICA MAISON MERE ANNÉE 2000
DRUMS : PAPY KAKOL
NGOMA : SHORA MBONDA
WEEKEND NJEMA
BON WEEKEND À TOUS Partie 8

02/08/2026

WENGE MUSICA MAISON MERE ANNÉE 2000
DRUMS : PAPY KAKOL
NGOMA : SHORA MBONDA
WEEKEND NJEMA
BON WEEKEND À TOUS Partie 7

02/08/2026

WENGE MUSICA MAISON MERE ANNÉE 2000
DRUMS : PAPY KAKOL
NGOMA : SHORA MBONDA
WEEKEND NJEMA
BON WEEKEND À TOUS Partie 6

02/08/2026

WENGE MUSICA MAISON MERE ANNÉE 2000
DRUMS : PAPY KAKOL
NGOMA : SHORA MBONDA
WEEKEND NJEMA
BON WEEKEND À TOUS Partie 4

02/08/2026

WENGE MUSICA MAISON MERE ANNÉE 2000
DRUMS : PAPY KAKOL
NGOMA : SHORA MBONDA
WEEKEND NJEMA
BON WEEKEND À TOUS Partie 3

02/08/2026

WENGE MUSICA MAISON MERE ANNÉE 2000
DRUMS : PAPY KAKOL
NGOMA : SHORA MBONDA
WEEKEND NJEMA
BON WEEKEND À TOUS Partie 2

Adresse

Avenue D'ORADOUR SUR GLANE
Bonneuil-sur-Marne
94380

Téléphone

33668312952

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Lubonji Wa Lubonji publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter La Pratique

Envoyer un message à Lubonji Wa Lubonji:

Raccourcis

Partager