04/06/2026
π¨π¦ EBOLA SI STORY YA KUCHUKULIA POA! β οΈ
Ebola ni ugonjwa hatari unaoweza kuenea kupitia kugusana na damu au majimaji ya mwili wa mtu aliyeambukizwa. Dalili zake zinaweza kuanza k**a homa ya kawaida lakini baadaye kuwa severe sana. π·
π΄ Dalili za Ebola:
β
Homa kali
β
Uchovu mwingi
β
Maumivu ya misuli na viungo
β
Kichwa kuuma sana
β
Kutapika na kuharisha
β
Kutokwa na damu kwa baadhi ya wagonjwa
π‘οΈ Jinsi ya kujikinga:
βοΈ Nawa mikono mara kwa mara
βοΈ Epuka kugusana na majimaji ya mwili ya mgonjwa
βοΈ Tafuta matibabu mapema ukipata dalili
βοΈ Fuata maelekezo ya wahudumu wa afya
Remember, information sahihi na tahadhari mapema zinaweza kuokoa maisha. π
π₯ Gilgil Annex Hospital
Your Health, Our Priority π