07/09/2026
UNGA WA MAJANI YA MLIMAO.
Mlimao ni moja ya mmea(mti) wenye utajiri wa vitamini C,K,Magnesiamu,zink na chuma(iron).
Faida za unga wa majani ya mlimao:
1.Hupunguza kiungulia
2.Kichochezi cha kupata usingizi mzuri na utulivu wa mwili.
3.Hurekebisha kolesterol na shinikizo la damu
4.Hutibu kipanda uso na maumivu ya kichwa
5.Huimarisha kinga mwilini
6.Hulinda afya ya mmeng'enyo wa chakula
7.Hutoa sumu mwilini na ogani k**a ini,figo na kibofu.
โฆ :Tumia kijiko 1 cha chai katika maji moto(ujazo robo lita) kabla ya mlo,kutwa mara 2 au 3.
โฆ :Pia haipendekezwi kuitumia wakati wa hedhi au ujauzito.Watoto chini ya miaka 2 haiwafai.
+255636607724
+255767607724