10/03/2016
ATHARI ZA POMBE KIHISIA
Matumizi mabaya ya pombe inaweza kusababisha huzuni na wasiwasi.ufafanuzi was matumizi mabaya ya pombe ni unyaji wa kupindukia bila utegemezi wa pombe.hats hivyo,MTU anaweza kuwa tegemezi kimwili au kisaikolojia,na hawezi kufanya kazi zake bila hivyo.hata k**a mtumiaji wa pombe siyo tegemezi was dutu hii,yeye bado anaweza kuwa na matatizo ya kihisia k**a matokeo ya tatizo lake la ulevi.pombe inaweza kufanya hali ya mtumiaji kuwa mbaya kimaisha.
Athari zifuatazo ndizo zinajitokeza zaidi.
////unyongofu(depression)
Ni tatizo inayosababishwa napo MBE,ambayo mgonjwa huendelea kuwa na huzuni na anajihisi mnyonge pombe hugandamiza kazi za ubongomaana yake inazoofisha mfumo mkuu wa Neva(CNC).k**a mgonjwa ana matatizo ya awali ya Sonoma au unyongofu,,pombe inaweza kufanya hali kuwa mbaya zaidi.wazo LA kujiua ni matokeo wa uwezekano wa matumizi mabaya ya pombe,hasa pale mgonjwa anapokuwa na matatizo makubwa ya sonona.
/////ugonjwa wa wasiwasi.(anxiety)
Shida nyingine ya akili inayosababishwa na pombe ni ugonjwa wa wasiwasi ambayo mgonjwa anakuwa na wasiwasi asiyoweza kuutawala.MTU mwenye wasiwasi hunywa pombe na uwezekano wa kujiingiza kwenye madawa mengine ya kulevyia ni mkubwa ili kupunguza kwa mida dalili za wasiwasi lakini baada ya muda,kadiri MTU atavyo endelea kunywa pombe hali yake ya ugonjwa wa wasiwasi huwa mbaya zaidi.
////kujitenga(self isolation)
MTU anayetumia pombe vibaya anaweza kunywa pombe pekee yake au kwa kujificha au kujitenga na watu wengine,kwasababu hapendi watu wafahamu kuwa anak unywa pombe. Wakati mwingine huficha pombe zake katika maeneo ya kawaida k**a vile kwenye Mfuko ya nguo,kabatini na chumbani kwake ambapo watu wengine hawawezi kuona,MTU akifikia hali hii hali yake binafisi ya kimaisha na ya familia yake hurudi nyuma kimaendeleo.
////Kukasirika au. kuumia nafisi kirahisi.
Pombe husababisha MTU kuwa na hasira hasa wakati muda wake wa kunywa pombe umekaribia au ajapata pombe, pia husababisha vurugu au ugomvi wakati amelewa na atimaye kukabiliana na vyombo vya dola.
////kutotulia(restlessness)
////kuweweseka(mental confusion)
////kukosa umakini wa usikivu (poor concentration)
/// kiharusi(stroke)
/////kifafa(seizure)
/// maluelue za macho na masikio(visual and auditory hallucinations)
////kuumwa kichwa (headache)
/Instagram.
.