06/09/2021
Upungufu wa nguvu za kiume ni Changamoto ambayo wanaume wengi sana hukutana nayo na kuwanyima raha k**a mwanaume .
Changamoto hii husababisha wanaume kuwa na mawazo mengi na hupelekea wengine kukata tamaa ya kuwa katika mahusiano kutokana na fedheha wanazopata kutoka kwa wenzi wao.
Tatizo hili huashiria kuna upungufu wa kitu fulani mwilini (Kirutubisho).
- Tunashauriwa na wataalamu wa afya kutumia mlo kamili yaani wenye vitamins,wanga,protein,fats,madini na maji ya kutosha ili kuimarisha miili yetu
Ukosefu wa virutubisho mwilini husababisha Changamoto mbili mbali katika mwili mojawapo likiwai ni UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
-Changamoto hii huwafanya wanaume kuwa na mawazo mengi kuhusu afya zao na kuwafanya wengine kukataa tamaa ya kuwa ktk mahusiano kutokana na fedheha wanazokutana nazo kutoka kwa wenzi wao
:-Wanaume wengi wenye changamoto hii hujidanganya/kudanganywa kutumia dawa ya za kuongeza nguvu wakati wa kujamiiana ambazo baadae husababisha madhara zaidi baadae
:-Wengi wasichokijua ni wanatakiwa kutumia virutubisho na sio dawa ambayo itafanya kazi ya kurekebisha pale penye tatizo na kukurudisha kwenye uhalisia wako k**a mwanaume
Visababishi vya upungufu wa nguvu za kiume
~Kujichua
~Ulaji holela wa vyakula
~matumizi makubwa ya pombe/uvutaji sigara
~matumizi mabaya ya madawa
~Kuwa na cholesterol (helamu)
~Shinikizo la damu
~Kuwa na tatizo la kibofu
~Kuwa na mawazo mengi na wasiwasi
Njoo upate ushauri 0743488166 ama kwa watsap 0623947100 tutakufikia