Mwanamke Afya

Mwanamke Afya Mwanamke Mwenye Afya Bora Fahari kwa Jamii Yake

Upungufu wa nguvu za kiume ni Changamoto ambayo wanaume wengi sana hukutana nayo na kuwanyima raha k**a mwanaume .      ...
06/09/2021

Upungufu wa nguvu za kiume ni Changamoto ambayo wanaume wengi sana hukutana nayo na kuwanyima raha k**a mwanaume .
Changamoto hii husababisha wanaume kuwa na mawazo mengi na hupelekea wengine kukata tamaa ya kuwa katika mahusiano kutokana na fedheha wanazopata kutoka kwa wenzi wao.
Tatizo hili huashiria kuna upungufu wa kitu fulani mwilini (Kirutubisho).
- Tunashauriwa na wataalamu wa afya kutumia mlo kamili yaani wenye vitamins,wanga,protein,fats,madini na maji ya kutosha ili kuimarisha miili yetu
Ukosefu wa virutubisho mwilini husababisha Changamoto mbili mbali katika mwili mojawapo likiwai ni UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
-Changamoto hii huwafanya wanaume kuwa na mawazo mengi kuhusu afya zao na kuwafanya wengine kukataa tamaa ya kuwa ktk mahusiano kutokana na fedheha wanazokutana nazo kutoka kwa wenzi wao
:-Wanaume wengi wenye changamoto hii hujidanganya/kudanganywa kutumia dawa ya za kuongeza nguvu wakati wa kujamiiana ambazo baadae husababisha madhara zaidi baadae
:-Wengi wasichokijua ni wanatakiwa kutumia virutubisho na sio dawa ambayo itafanya kazi ya kurekebisha pale penye tatizo na kukurudisha kwenye uhalisia wako k**a mwanaume

Visababishi vya upungufu wa nguvu za kiume
~Kujichua
~Ulaji holela wa vyakula
~matumizi makubwa ya pombe/uvutaji sigara
~matumizi mabaya ya madawa
~Kuwa na cholesterol (helamu)
~Shinikizo la damu
~Kuwa na tatizo la kibofu
~Kuwa na mawazo mengi na wasiwasi
Njoo upate ushauri 0743488166 ama kwa watsap 0623947100 tutakufikia

02/09/2021

TUNATOA ELIMU ELEKEZI NAMNA AMBAVYO MFUMO WA MAISHA UNAWEZA KUWA CHANZO CHA AFYA KUTOKUA IMARA,AIDHA ULAJI MBOVU,UNYWAJI,MSONGO WA MAWAZO,KUTOKUFANYA MAZOEZ.NA MAMBO MENGINE KADHA WA KADHA.

ILA PIA TUNATOA UMUHIMU NA FAIDA YA KUTUMIA VIRITUBISHO HASA KAT

Inapaswa imtokee zaidi ya mara 20 kwa mwezi k**a hupati hii njoo upate masaada 0743488166 ama kwa watsap 0623947100
02/09/2021

Inapaswa imtokee zaidi ya mara 20 kwa mwezi k**a hupati hii njoo upate masaada 0743488166 ama kwa watsap 0623947100

31/08/2021
TATIZO la ugumba limekua kubwa na umefika wakati lizungumzwe kwa kuangalia upande wa pili wa shilingi.  Inaelezwa kuwa k...
28/08/2021

TATIZO la ugumba limekua kubwa na umefika wakati lizungumzwe kwa kuangalia upande wa pili wa shilingi. Inaelezwa kuwa katika kila ndoa sita, moja huhangaika kupata uzazi na mmoja kati ya wawili hao anaweza kuwa mgumba.
Zipo sababu mbalimbali zinazochangia ugumba kwa wanaume ikiwamo matatizo ya kuzaliwa nayo au kuyapata ukubwani ikiwemo magonjwa mbalimbali. Matatizo yafuatayo yamekuwa ndiyo mara kwa mara chanzo cha kujitokeza kwa tatizo la ugumba kwa wanaume. Yako mambo yanayosababisha utengenezaji wa mbegu zisizo na ubora zinazokosa ufanisi wa kazi yake. Mambo hayo ni pamoja na kuzaliwa na korodani ambazo hazijashuka kutoka tumboni.
Kwa kawaida, kabla ya kuzaliwa kokwa za kiume huwa zipo ndani ya pango la tumbo na hutakiwa zishuke kuelekea sehemu za uzazi baada ya kuzaliwa. Kushindwa kushuka na kuhifadhiwa katika korodani husababisha mbegu au kokwa kuharibika kutokana na joto kali la tumboni. Kushuka na kuning’inia kwa korodani ni maumbile sahihi ya kibailojia yenye tija kiafya ambayo huwezesha kupata joto la wastani hivyo kutengenezwa mbegu zenye kiwango. 0743488166 au 0623947100

28/08/2021

TATIZO la ugumba limekua kubwa na umefika wakati lizungumzwe kwa kuangalia upande wa pili wa shilingi. Inaelezwa kuwa katika kila ndoa sita, moja huhangaika kupata uzazi na mmoja kati ya wawili hao anaweza kuwa mgumba.
Zipo sababu mbalimbali zinazochangia ugumba kwa wanaume ikiwamo matatizo ya kuzaliwa nayo au kuyapata ukubwani ikiwemo magonjwa mbalimbali. Matatizo yafuatayo yamekuwa ndiyo mara kwa mara chanzo cha kujitokeza kwa tatizo la ugumba kwa wanaume. Yako mambo yanayosababisha utengenezaji wa mbegu zisizo na ubora zinazokosa ufanisi wa kazi yake. Mambo hayo ni pamoja na kuzaliwa na korodani ambazo hazijashuka kutoka tumboni.
Kwa kawaida, kabla ya kuzaliwa kokwa za kiume huwa zipo ndani ya pango la tumbo na hutakiwa zishuke kuelekea sehemu za uzazi baada ya kuzaliwa. Kushindwa kushuka na kuhifadhiwa katika korodani husababisha mbegu au kokwa kuharibika kutokana na joto kali la tumboni. Kushuka na kuning’inia kwa korodani ni maumbile sahihi ya kibailojia yenye tija kiafya ambayo huwezesha kupata joto la wastani hivyo kutengenezwa mbegu zenye kiwango... Njoo upate suluhisho kwa watsap 0623947100

Mwanamke je umefanya mazoezi ya viungo Leo???Ni Muhimu kufanya mazoez kwa afya bora na kuimarisha Kinga ya mwili
26/08/2021

Mwanamke je umefanya mazoezi ya viungo Leo???
Ni Muhimu kufanya mazoez kwa afya bora na kuimarisha Kinga ya mwili

Dalili zake~Udhaifu katika utoaji wa mkojo(mkojo hauishi)  :-Udhaifu huo pia kunaweza kutokea kwa kuvimbakwa tezi dume k...
23/08/2021

Dalili zake
~Udhaifu katika utoaji wa mkojo(mkojo hauishi)
:-Udhaifu huo pia kunaweza kutokea kwa kuvimbakwa tezi dume kabla ya saratani.
~Kukojoa mara kwa mara
~Kushindwa kukojoa
~Maumivu ya kiuno na mifupia ya nyonga
:-Maumivu ya nyonga huanza k**a dalili za awali .
~Damu ndani ya mkojo(Hii huonesha tezi dume imeathirika) k**a unaona hizi dalili njoo what's app 0623947100

-Chembechembe asi hizo mwishoe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini            Vis...
23/08/2021

-Chembechembe asi hizo mwishoe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
Visababishi/Chanzo
~Nasaba(historia ya ukoo kuhusiana na saratani hii)
~Upungufu wa virutubisho💁🏽‍♀️
~Unene uliokithiri
~Umri mkubwa kuanzia miaka 50
~Ukosefu wa mazoezi
~Ulaji hatarishi ie nyama nyekundu kwa wingi,mafuta n.k

Address

Victoria
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanamke Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mwanamke Afya:

Shortcuts

Share