30/10/2021
➡️ TATIZO LA KUWASHWA KWENYE NGOZI PAMOJA NA SEHEMU ZA SIRI
Ugonjwa huu umekuwa ukiwasumbua watu wengi siku hizi,bila kujali umri au jinsia.
ZIPO SABABU MBALI MBALI KITAALAM AMBAZO HUCHANGIA HALI HII IKIWEMO;
-Swala la allergy ambayo hutokana na vitu mbali mbali k**a Maji(ya kisima,mvua n.k), baadhi ya mafuta ya kula,vyakula k**a aina ya flani ya nyama mfano ya mbuzi,ng'ombe,kuku n.k. KUNA WATU WANA ALLERGY KUTOKANA NA VITU HIVI.
-Swala lingine ni Magonjwa k**a FANGASI YA NGOZI, AU DAMU.ambayo hii matokeo yake huonekana moja kwa moja kwenyengozi na hali ya miwasho isiyoisha hujitokeza.
K**A UNAPATA MUWASHO WA NGOZI AU SEHEM ZA SIRI PIA,TUWASILIANE WHATSAPP/PIGA 0768291171 UPATE MSAADA.