Dr_Kassimu Na Afya.

Dr_Kassimu Na Afya. Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr_Kassimu Na Afya., Medical and health, Tanzania, Dar es Salaam.

MATIBABU YA MIFUPA BILA UPASUAJIMifupa ndio inayokupa muonekano na kukusaidia kufanya shughuli zote za nguvu ikiwa inasa...
18/10/2022

MATIBABU YA MIFUPA BILA UPASUAJI
Mifupa ndio inayokupa muonekano na kukusaidia kufanya shughuli zote za nguvu ikiwa inasaidiana na misuli ya nyama. Mifupa hufanya kazi kubwa wakati wa kutembea, kukaa , kusimama, kulima, na kazi mbalimbali, nk.
Kutokana na shughuli mbali mbali tunazofanya misuli hukak**aa na kusababisha kubadilisha mpangilio na muonekano halisia wa mifupa. Hii husababisha mifupa kuinda, kupishana, kusagana, kuvunjika n.k.

MAGONJWA YA MIFUPA
watu wengi nilio wahudumia huwa na matatizo yafuatayo ya viungo:-
1: Maumivu ya kichwa na shingo
2:Maumivu ya kiuno na nyonga
3: Maumivu ya magoti na miguu
4: Maumivu ya mabega, mbavu na mikono
5: Miguu kuwaka moto
6: Miguu kufa ganzi
7: Gauti
8: Arthritis

Wagonjwa baada ya vipimo vya xray, CTScan au MRI huweza kutambulika magonjwa yao na kuishiwa kupatiwa dawa za maumivu ambazo hutuliza tu maumivu bila kumaliza chanzo cha tatizo. Hii husababisha tatizo kuendelea kwa muda mrefu na baadae hulazimika kufanya upasuaji. Hata baada ya upasuaji huwa hakuna matumaini makubwa kwani madhara huwa yamefanyika kwa muda mrefu.
Tunatoa matibabu ya magonjwa ya mifupa kwa dawa nzuri zilizothibitishwa na mamlaka ya dawa na chakula Tanzania na Marekani. Dawa hizi hurekebisha tatizo na kutengeneza kinga ya kuzuia mifupa kusagana na kutengeneza gegedu, ute ute na mifupa kuwa imara. Tunaweza kukusaidia ukarudisha furaha katika maisha yako au ndugu yako unayemuhudumia.
Kwa matibabu, ushauri, maswali na maoni unaweza kuwasiliana nami.
0759490202
Dr Kassim

MAUMIVU YA NYONGA YANATIBIKAMaumivu ya nyonga yanawasumbua sana na yanaathiri ubora wa maisha. Mgonjwa hushindwa kufanya...
18/10/2022

MAUMIVU YA NYONGA YANATIBIKA

Maumivu ya nyonga yanawasumbua sana na yanaathiri ubora wa maisha. Mgonjwa hushindwa kufanya majukumu yake ya kila siku ya kujikimu k**a kuoga, kuvaa nguo, kutembea, kukaa, kusimama.nk. hii husababishwa na kuisha na kusagika kwa mifupa na ligament za maungio ya mifupa. Hii huchangiwa na kushindwa kutengenezwa kwa gegedu na mifupa hii baada ya kuumia. Mifupa pia huanza kuyeyuka kwa umri unapoanza kua mkubwa. Hii husababishwa na mwili kuacha kujijenga na kuanza kuyayusha mifupa kupata madini ya kalshiamu na kutumia sehemu nyingine ya mwili. Hivyo watu umri mkubwa wanashauriwa kupata virutubisho sahihi ili kuwezeshwa kutengeneza na kuzuia kuyeyuka kwa mifupa.

Kwa ushauri, maswali na maoni unaweza kuwasiliana nami.
0759490202
Dr Kassim.......!

10/10/2022

IJUE TOFAUTI YA KUTEGUKA NA KUVUNJIKA MGU
(JOINT DISLOCATION AND BONE FRACTURE)
Kuna tofauti kubwa kati ya kuteguka mguu na kuvunjika mguu. Kwa kifupi kuteguka na kupisha a kwa mifupa miwili ya karibu katika maungano na kuvunjika ni kukatika kwa mfupa mmoja na kutoa miwili au zaidi. unaweza kufikiri ipi ni hatari sana ukipata kuliko nyingine....! Kuteguka ni joint ni hatari zaidi kwani hupelekea watu wengi kukatwa viungo. Hii husababishwa na kuteguka maungio hupelekea mishipa ya damu kuziba na mishipa ya fahamu kutakika. Kuvunjika huwa hatari k**a mfupa uliovunjika utaenda kukata mshipa wa damu au fahamu uliokaribu. Na hii hutokea iwapo baada ya ajali majeruhi ataitumia mifupa iliyovunjika. Katika zote mbili inapotokea kwa huduma ya kwanza fanya yafuatayo.

HUDUMA YA KWANZA KWA MJERUHIWA
1: mlaze mgonjwa mahali salama
2: omba ruhusa ya kumhudumia mgonjwa
3: muulize sehemu alikoumia
4: baini jeraha na aina ya mvunjiko au kuteguka alikoumia mgonjwa
5: zuia damu k**a inatoka
6: funga eneo lililo vunjika au teguka kusiwe na kucheza cheza kabisa.
7: mpeleke mgonjwa hospitali kwa matibabu

Kwa maswali, maoni au ushauri unaweza kuwasiliana nami.
Dr Kassim
0759490202

06/10/2022

AFYA YA NGOZI
1: kula vyakula vyenye ant-oxidant
2: mazoezi na kupumzika
3: kunywa maji mengi

YOUR HEALTH AND AGE ARE REFLECTED ON YOUR SKIN.
06/10/2022

YOUR HEALTH AND AGE ARE REFLECTED
ON YOUR SKIN.

Address

Tanzania
Dar Es Salaam
+255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr_Kassimu Na Afya. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share