18/09/2022
Soma hii Ni
Takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya Ndoa Nyingi Hupitia Changamoto ya kuchelewa Kupata watoto kutokana na Wasichana wengi kutumia njia za uzazi wa mpango Zenye kuwaongezea Vichocheo katika miili yao Ambayo Huwa ndo chanzo cha Mvurugiko wa Homon's.
Lakini pia Takwim zinaonyesha kuwa wasichana wengi kwa sasa katka Maisha yao Hutoa mimba zaidi ya1.
Na hii kuchukua Asilimia tisini ya wasichana wanaokua kwenye mahusiano na wanaume zaidi ya mwaka mmoja kabla ya ndoa hutoa mimba na asilimia tano tu ya wote ndio wanaamua kuzaa
Naomba Nikwambie jambo Ambalo wenda hulijui kwa sasa Ni swala la kawaida kusikia mwanamke ameolewa akiwa ametoa mimba nne mpaka tano.
Ukiachana na Madhara mengine Anayoweza kuyapata mwanamke Ni .
Utoaji wa mimba kimsingi Uharibu mlango wa mfuko uzazi na kufanya mimba kutoka kabla ya muda wake endapo mwanamke atabahatika kunasa tena!!!!
Lakini kutokana na kurazimisha kutoa kiumbe hicho kwa nguvu Husababisha michubuko katika via vya uzazi hivyo kufanya mwanamke kushambuliwa na bacteria korofi Ambao kimsingi huweza kusababisha Mwanamke kutokwa na uchafu ukeni Au kuwa na maambukizi katika via vya uzazi .
Njoo tuanze dozi mapema kabla ya madhara haya
Call: wtsp.