Dr Nasir Mtetezi wa Afya

Dr Nasir Mtetezi wa Afya Tunasaidia kutatua changamoto za kiafya kwa kutumia tiba lishe zisizo na kemikali yoyote

*Mwanaume kuwa na viashiria k**a:*1. Uume kushindwa kusimama unapoamka2. Kupoteza nywele3. Kukosa usingizi4. Kupungua kw...
21/06/2023

*Mwanaume kuwa na viashiria k**a:*
1. Uume kushindwa kusimama unapoamka
2. Kupoteza nywele
3. Kukosa usingizi
4. Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
5. Hasira za haraka.

Vinaweza kuwa ishara ya kushuka kwa kiwango cha hormone ya testosterone. Tengeneza utaratibu wa kupima.

*NB:Tumia BEDROOM PACK kuongeza kiwango cha homoni za kiume mwilini ili uweze kufanya tendo la ndoa kwa usahihi(Kupata BEDROOM PACK nitafute kupitia namba 0621672394)*๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

21/06/2023

TEZI DUME NA MATIBABU YAKE?

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji ambayo husafirisha mbegu za kiume.

KUPANUKA KWA TEZI DUME

Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .

Ugonjwa wa kutanuka kwa tezi dume ni ugonjwa wa wanaume wazee.

DALILI ZA TEZI DUME

1.Kukojoa mara kwa mara, ama kuhisi kukojoa mara kwa mara
2.Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
3.Kupatwa na uzgumu kutoa mkojo
4.Mchirizi wa mkojo kuwa dhaifu
5.Mkojo kukatakata unapofika karibu a mwisho
6.Kujichafua wakati wa kukojoa
7.Kushindwa kumaliza mkojo kabisa.
8.Kushindwa kukojoa kabisa.
9.Kupata mkojo mchache sana
10) Damu kwenye mkojo inaashiria kensa

MADHARA YA KUCHELEWA KUTIBU TEZI DUME

1) Kushindwa kabisa kukojoa
2) Kupatwa na maambukizi ya UTI
3) Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu
4) Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea
5) Figo inaweza kuharibika
6) Upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA HARAKA INAPATIKANA BILA YA UPASUAJI WOWOTE.
Kwa sasa inapatikana kwa bei ya ofa.
Kwa mahitaji tupigie/whatsapp 0621672394

22/03/2023

Ondoa kitambi, nyama uzembe, mafuta yaliozidi na uzito mkubwa bila kuharisha wala kutapika

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Nasir Mtetezi wa Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Nasir Mtetezi wa Afya:

Shortcuts

Share