Tiba za matunda na mimea

Tiba za matunda na mimea Tunatibu kwa kutumia seli za mimea mbalimbali ,AFA CELL MORINGA EXTRACT zenye kuondoa magonjwa yote sugu.

🕳 Ugonjwa Wa Pingili - Maumivu  Katika Sehemu mbalimbali za mwili.⏩Tatizo hili husababisha maumivu makali ya mguu, mgong...
14/03/2026

🕳 Ugonjwa Wa Pingili - Maumivu Katika Sehemu mbalimbali za mwili.

⏩Tatizo hili husababisha maumivu makali ya mguu, mgongo, bega au Mkono.

⏩Maumivu haya huwa ni makali mno, katika mazingira mengine huja na kutoweka, katika mazingira mengine maumivu haya huwa endelevu.

⏩ Wengi tumeshawahi kusikia au kuona ndugu, rafiki, jamaa, jirani fulani akiumwa mguu, mkono, bega au mgongo tena kwa maumivu makali sana.

⏩Wengi wamehangaika hospitali nyingi bila mafanikio,maombezi,waganga bila mafanikio.Wengine wamepooza kabisa miguu.

🕳 Hebu tuangalie kidogo kuhusu UTI wa MGONGO 🕳..

🕳Mgawanyiko Wa UTI Wa Mgongo Na Matokeo Ya Disc Zinapocheza🕳

💥Uti wa mgongo umegawanyika katika aina kuu zipatazo nne (4) za pingili ..Spinal Vertebrae..

⏩Cervical Curve - Hili ni eneo la juu la uti wa mgongo, Eneo hili linaanzia uti wa mgongo unapokutana na kichwa na kuishia eneo la mwisho la Shingo, kwa lugha nyepesi ndilo eneo linalomiliki shingo, pingili zilizopo katika eneo hili zinaitwa Cervical Vertebrae

• Maeneo yanayoathiriwa na Disc kucheza katika eneo hili Cervical Disc Herniation ni Mikono au Mabega au kifua, moja wapo ya viungo hivi hupata maumivu makali sana.

⏩Thoracic Curve - Hili ni eneo la uti wa mgongo linalofuatia kuelekea chini likianzia inapoishia Shingo, Eneo hili linaishia katikati ya mgongo, kwa lugha nyepesi eneo hili ndilo linalokamilisha mbavu. Pingili zinazopatikana katika eneo hili zinaitwa Thoracic Vertebrae

• Kucheza kwa disck katika eneo hili kutakusababishia maumivu makali ya Mgongo eneo la juu ya Kiuno.

⏩Lumbar Curve - Eneo hili linaanzia inapoishia Thoracic Curve na kuelekea chini na kukutana na Eneo linaloitwa Sacral Curve au eneo la kiuno linapoanzia. Eneo la Lumba linazungukwa na ma matumbo na vitu vingine yasiyokuwa na mifupa. Pingili za uti wa mgongo zinazopatikana katika eneo hili zinaitwa Lumbar Vertebrae

• Ikiwa Disc zitacheza katika eneo hili mhusika atapata maumivu makali ya mguu maumivu ambayo ya ukumba mguuu wote kuanzia sehemu ya ndani ya na kushuka chini mpaka mwisho wa mguu kwenye kisigino.

⏩Sacral Curve - Eneo hili linaanzia pale Lumbar Curve inapoishia hadi mwisho wa uti wa mgongo kwa chini. Katika lugha rahisi eneo hili ndilo linalomiliki kiuno. Pingili zinazopatikana katika eneo hili zinaitwa Sacral Vertebrae

🕳 Chanzo Cha Tatizo

🕳 Ajali ya Gari, kupata ajali huweza leta hitilafu katika viungo..
🕳 Kuanguka, kwa namna yoyote ile...
🕳 Kupigwa/kupigana, kunaweza kuwa na athari mbaya..
🕳 Michezo - Michezo inaweza kusababishwa mtu kuumizwa pingili..
🕳 Ajali katika sehemu za kazi, kuangukiwa na vitu vizito..
🕳 Kasoro wakati wa kuzaliwa, watu wengine huzaliwa na kasoro...
🕳 Kubeba vitu vizito, jiadhari na kunyenyua vitu vinavyo kuzidi uwezo wako...
🕳 Ukaaji mbaya wa muda mrefu, watu wanaokaa muda mrefu, wanaosafiri muda mrefu huweza kupata shida hii
🕳 Misukosuku mbali mbali ya mwili huweza kusababisha tatizo hili...

🕳 Matibabu Yake

🕳 Tatizo hili linatibika ikiwa mgonjwa atawahi kufanyiwa uchunguzi sahihi na tatizo hilo kugundulika.

🕳 Kuna matibabu ya namna tofauti ambayo daktari anaweza kukupa lakini hali inapokuwa mbaya Madaktari hulazimika kufanya upasuaji.

🕳 Mgonjwa anatakiwa kupimwa kwa vipimo sahihi na kipimo kinachoitwa MRI.

🕳 Namna Bara Zaidi Ya Kujikinga Na Tatizo Hili.

🕳 Matunzo mazuri ya ujauzito
🕳 Kuepuka kipigana au kupigwa, usimpige mwenzako kwa sababu unaweza kumsababishia tatizo baadae

🕳 K**a unaendesha gari ama piki piki kuepuka mwendo unaoweza kukusababishia ajaili

🕳 Uangalifu katika michezo na mazoezi mazito

🕳 Kujilinda kiafya ili kujiepusha na maradhi yasiyotambulika

🕳 Tujiepusha na ukaaji mbaya wa muda mrefu katika sehemu zetu za kazi, pendelea kutafuta maelekezo jinsi ya kukaa katika sehemu yako ya kazi.

🕳 Pendelea kuangalia afya mara kwa mara na kupata ushauri wa madaktari.

🕳Tunakusaidiaje ??

🕳 Kwa wewe mwenye shida ya Pingili na Maumivu ya Viungo kabla hujafikia hatua ya kufanyiwa Upasuaji (Operation)...tunaweza kukusaidia kupitia bidhaa zetu zenye ubora wa kimataifa, wa kubalance mfumo wako wa mwili na kukufanya kila kitu kiwe mahali pake...

🕳 Bidhaa izi ni mchanganyiko maalumu usio na kemikali wa matunda , mbogamboga , mimea na Mazao Ya Bahari.

🕳 Bidhaa izi zinauwezo mkubwa wa kuziwezesha seli zako za mwili ziwe imara kiasi cha kukulinda dhidi ya uharibifu wa aina yoyote na Hivyo kukufanya uwe Imara na mwenye nguvu zaidi..

⏩Kwa Mwenye shida hii ya afya Wasiliana Nasi Kupitia /0794897240 Whatsapp.

TATIZO LA UGONJWA WA KISUKARI NA MAWE KWEYE FIGO NA KWENYE NYONGO . 🪴Chuma  majani ya embe, kausha kwenye mwanga kidogo ...
21/10/2025

TATIZO LA UGONJWA WA KISUKARI NA MAWE KWEYE FIGO NA KWENYE NYONGO .

🪴Chuma majani ya embe, kausha kwenye mwanga kidogo wa jua au ndani na kisha twanga kwenye kinu ili upate kuwa unga mlaini.

Weka vijiko viwili kwenye maji ya moto au uji koroga taratibu kisha kunywa mara mbili kwa siku kila siku.
KUSHUSHA SUKARI HARAKA TUMIA MAJI VUGUVUGU ,NA LIMAO.

KUKIKNGA KONGOSHO,TUMIA,TANGAWIZI ,BINZARI,NA PILIPILIMANGA SAGA PAMOJA CHANGANYA NA MAJI.
KWASUKARI INAYOANZA INAPOTEA KABISA,.USISAHAU KUTUMIA MBEGU ZA MLONGE ,UNAWEZA KUZIPASHA ,KISHA TEMBE 2 KUTWA MARA 3.( utarejesha majibu )

Utapona hutaingizwa katika dawa,.
Zingatia vyakula ulivyoambiwa uviepuke,tia nidham ya mlo.
Mfano vyakula vya wanga na soda aina zote epuka hata za energy epuka.
Nirahisi ,ila ama huna muda AFA cell IPO.Haasa mwenye sukari ya zaidi ya mwaka.
Tumia dozi hio kisha baada ya wiki 2 kapime na baada ya mwezi.
Usisahau mbegu za mlonge ( ukikosa vyote tumia mbegu za ,mlonge,kila sika kwa muda ,huo.
Mbegu zinapunguza na uzito nakuondoa cholesterol.

Tumia kwa siku 30 kisha nenda kapime.

Angalizo : Isiwe miembe ya kisasa .

Asili huponya.Hata hospital wanajua.

Ila ukitaka huduma iliotayari ,,,,ni AFA CELL.
TIBA ASILI NDIO HUPONYA SUKARI,HATA STEMCELL NI TIBA ASILI.

PIGA,0716535237.
KARIBU TUPO DAR ES SALAAM.

*OFA YA WENYE SUKARI HIO*

UKIANZA DAWA ZA KIZUNGU ,HUACHI ,SASA JIDHIBITI ,KIASILI.

11/10/2025

Tiba ya maradhi yote sugu.

11/10/2025

MGONJWA WA SARATANI AINA YOYOTE LIPO SULUHISHO LAKO.

✅Stemcell therapy ina faida nyingi kwa waMGONJWA saratani, hasa katika kusaidia mwili kukabiliana na saratani, na kurejesha afya baada ya matibabu k**a chemotherapy na radiotherapy. Hapa ni pointi 20 zinazozungumzia faida za stemcell therapy kwa mgonjwa wa saratani:

1. *Kuimarisha Mfumo wa Kinga*: Stemcell therapy inaweza kusaidia kurejesha mfumo wa kinga wa mgonjwa baada ya matibabu ya saratani k**a chemotherapy, ambayo inaweza kupunguza idadi ya seli za kinga.

2. *Kurejesha Seli za Damu*: Stemcell therapy inasaidia kurejesha seli za damu, ikiwa ni pamoja na seli nyekundu za damu, seli za kinga, na platelets, ambazo mara nyingi hupungua kutokana na matibabu ya saratani.

3. *Kupambana na Saratani*: Stemcell therapy inaweza kuongeza uwezo wa mwili kupambana na seli za saratani kwa kukuza uzalishaji wa seli za kinga zinazoshambulia seli za saratani.

4. *Kupunguza Madhara ya Chemotherapy*: Stemcell therapy inaweza kusaidia kupunguza madhara ya chemotherapy k**a uchovu, maumivu, na kupungua kwa seli za kinga.

5. *Kurejesha Seli za Tishu*: Stemcell therapy inasaidia kurejesha tishu zilizoharibika kutokana na saratani au matibabu ya saratani, k**a vile tishu za mifupa, mifuko ya hewa kwenye mapafu, na tishu za mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

6. *Kuboresha Afya ya Mifupa*: Stemcell therapy ina uwezo wa kusaidia katika matibabu ya saratani ya mifupa na kurejesha afya ya mifupa kwa kuboresha utengenezaji wa tishu za mifupa.

7. *Kudhibiti Saratani ya Damu*: Stemcell therapy ni muhimu katika matibabu ya saratani ya damu k**a leukemia na lymphoma, ambapo stem cell transplants husaidia kurejesha mfumo wa damu.

8. *Kuongeza Ubora wa Maisha*: Inasaidia kuboresha ubora wa maisha kwa kupunguza athari za matibabu ya saratani, k**a vile uchovu, maumivu, na matatizo ya kisaikolojia.

9. *Kuzuia Maambukizi*: Kwa kuongeza idadi ya seli za kinga, stemcell therapy inaweza kusaidia kupambana na maambukizi ya bakteria, virusi, na fangasi ambazo mara nyingi hutokea baada ya matibabu ya saratani.

10. *Kupunguza Hatari ya Saratani Kurudi*: Stemcell therapy inaweza kusaidia kuboresha kinga ya mwili na hivyo kupunguza hatari ya saratani kurudi au kuenea tena mwilini.

11. *Kusaidia katika Matibabu ya Saratani ya Mifupa*: Inasaidia kurejesha afya ya mifupa baada ya saratani ya mifupa, na inaweza kuboresha ufyonzaji wa madini muhimu k**a kalsiamu.

12. *Kuongeza Ufanisi wa Matibabu ya Saratani*: Stemcell therapy inaweza kuongeza ufanisi wa matibabu ya saratani kwa kuboresha uwezo wa mwili kupokea na kushughulikia matibabu ya saratani k**a chemotherapy.

13. *Kuboresha Uwezo wa Kujijenga:* Stemcell therapy inasaidia mwili kujijenga kwa urahisi baada ya athari za matibabu ya saratani, na kurudisha nguvu na afya ya mwili.

14. *Kupunguza Uchovu na Maumivu:* Inasaidia kupunguza athari za uchovu na maumivu, ambayo ni matatizo ya kawaida kwa wagonjwa wa saratani kutokana na matibabu k**a chemotherapy na radiotherapy.

15. *Matibabu ya Saratani ya Kichwa na Shingo*: Stemcell therapy inasaidia kurejesha tishu za kichwa na shingo ambazo zimeathiriwa na matibabu ya saratani, na hivyo kuboresha hali ya mgonjwa.

16. *Kusaidia Matibabu ya Saratani ya Kichocho*: Inasaidia katika matibabu ya saratani ya kichocho na inaweza kuongeza uwezo wa mwili kupambana na saratani hii kwa kuboresha mfumo wa kinga.

17. *Matibabu ya Saratani ya Mapafu*: Stemcell therapy inaweza kusaidia katika matibabu ya saratani ya mapafu kwa kusaidia kurejesha tishu za mapafu ambazo zimeathiriwa na saratani na matibabu yake.

18. *Matibabu ya Saratani ya Matiti*: Inatumika kusaidia kurejesha afya ya tishu za matiti baada ya matibabu ya saratani ya matiti, hasa baada ya upasuaji na mionzi.

19. *Kupunguza Madhara ya Matibabu ya Radiotherapy*: Stemcell therapy inaweza kusaidia kupunguza madhara ya radiotherapy, k**a vile uharibifu wa tishu, kichefuchefu, na kupoteza hamu ya kula.

20. *Kusaidia Urejeshaji wa Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula*: Inasaidia kurejesha afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, ambao mara nyingi huathiriwa na matibabu ya saratani, hivyo kusaidia kurudisha hali nzuri ya mmeng'enyo wa chakula.

Kwa kumalizia, stemcell therapy ina faida kubwa kwa mgonjwa wa saratani, hasa katika kurejesha kinga ya mwili, kuboresha afya ya tishu, kupambana na saratani, na kupunguza madhara ya matibabu ya saratani. Inatoa matumaini ya matibabu bora na ya ufanisi zaidi kwa wagonjwa wa saratani.

*🦚KARIBU TUKUHUDUMIE*

*🍏PIGA 0743398872
0655938872
Dar es salaam*

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba za matunda na mimea posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tiba za matunda na mimea:

Shortcuts

Share