11/05/2026
DALILI ZA KUPANDA KWA ACID KOONI (ACID REFLUX-GERD)
1.π Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.π Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.π Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.π Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.π Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.π Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.π Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.π Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.π Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.π Kupata kikokozi kisichoisha
11.π Kuvimba Tonsils/mafidofido mara kwa mara.
12.π Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.π Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.π Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.πHuweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.π Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.π Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.π Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.π Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.π Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.π Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.πKichefuchefu na kutapika.
23.π Sehemu za mwili kuchezacheza mfano chini ya macho
24.π Masikio kuunguruma/kupiga kelele/kuwa mazito
25.π Mwili kuwasha na ngozi kufifia rangi yake.
26.π Kuhisi ganzi hasa kwenye vidole vya miguu na mikono.
27.π Kupata kwikwi mara kwa mara.
28.π Presha kupanda (temporary hypertension)
29.π Kucheua majimJi machachu yenye rangi ya njano au kijani
30.π Kuhisi jamii imekutenga na kukata tamaa ya kuishi.
31.π Kuhisi vitu vinatembea mwilini.
32.π Kuhisi umerogwa hali inayopelekea wengi kukimbilia kwa waganga wa mizimu.
KWA MSAADA NA USHAURI, WASILIANA NASI:‡οΈβ€΅οΈ
__________________________________
PANDEX HERBAL CLINIC
+255 656 198 441
[email protected]
DAR ES SALAAM.
ILALA-PANGANI & UTETE STREET.
__________________________________