East African Health Care

East African Health Care Ushauri na Tiba Juu ya Changamoto za Uzazi kwa Wanaume na Wanawake

Call/WhatsApp +255 673 389 190

*MWANAMKE UKIONA VIASHIRIA HIVI TAMBUA KUWA UNA TATIZO LA MVURUGIKO WA HOMONI* Dr Kembamba: 0673389190📝 kupatwa na Hali ...
11/03/2024

*MWANAMKE UKIONA VIASHIRIA HIVI TAMBUA KUWA UNA TATIZO LA MVURUGIKO WA HOMONI*

Dr Kembamba: 0673389190

📝 kupatwa na Hali ya Uke Kuwa Mkavu.

📝Maumivu Makali wakati wa tendo.

📝Kukoma kwa hedhi Kabla ya Wakati na ukiwa Simjamzito.

📝Kutoshika mimba.

📝Kubadilika Badilika kwa Mzunguko wa hedhi.

📝Kuongezeka uzito.

📝Kukosa au kupungua hamu ya tendo.

📝Hasira za Mara kwa Mara.

📝Wakati Wa Hedhi Kutokwa na Damu nyingi au yenye mabongemabonge.

📝Kuharibika kwa Ngozi.

📝Kuota Ndevu.

📝Kupata Tatizo la Ukomo wa uwitaji wa Nywele.

📝Kuto ota matiti.

📝 Kuwa na Tatizo la kusahau sahau.

📝Kutokwa na Jasho jingi Usiku.

📝Kukoswa usingizi.

📝 Maumivu Makali ya kichwa ya Mara kwa mara.

📝Maumivu kwenye matiti.

Etc.

BAADHI YA VYANZO VIKUU VYA TATIZO HILI NI👇

📝Utumiaji wa Dawa au za Uzazi wa Mpango.

📝Utoaji wa mimba.

📝Uwepo wa sumu nyingi mwilini.

📝Lishe Duni (kula Kinacho patikana na Sio Kinacho stahili).

📝Kurithi kutoka Kwenye Familia.

📝Hali ya hewa na
Mabadiliko ya mazingira.

📝 Matatizo ya Unene (obesity).

📝Msongo mkali wa mawazo wa Mdamlefu (Stress).

Msaada +255 673 389 190

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when East African Health Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share