11/03/2024
*MWANAMKE UKIONA VIASHIRIA HIVI TAMBUA KUWA UNA TATIZO LA MVURUGIKO WA HOMONI*
Dr Kembamba: 0673389190
📝 kupatwa na Hali ya Uke Kuwa Mkavu.
📝Maumivu Makali wakati wa tendo.
📝Kukoma kwa hedhi Kabla ya Wakati na ukiwa Simjamzito.
📝Kutoshika mimba.
📝Kubadilika Badilika kwa Mzunguko wa hedhi.
📝Kuongezeka uzito.
📝Kukosa au kupungua hamu ya tendo.
📝Hasira za Mara kwa Mara.
📝Wakati Wa Hedhi Kutokwa na Damu nyingi au yenye mabongemabonge.
📝Kuharibika kwa Ngozi.
📝Kuota Ndevu.
📝Kupata Tatizo la Ukomo wa uwitaji wa Nywele.
📝Kuto ota matiti.
📝 Kuwa na Tatizo la kusahau sahau.
📝Kutokwa na Jasho jingi Usiku.
📝Kukoswa usingizi.
📝 Maumivu Makali ya kichwa ya Mara kwa mara.
📝Maumivu kwenye matiti.
Etc.
BAADHI YA VYANZO VIKUU VYA TATIZO HILI NI👇
📝Utumiaji wa Dawa au za Uzazi wa Mpango.
📝Utoaji wa mimba.
📝Uwepo wa sumu nyingi mwilini.
📝Lishe Duni (kula Kinacho patikana na Sio Kinacho stahili).
📝Kurithi kutoka Kwenye Familia.
📝Hali ya hewa na
Mabadiliko ya mazingira.
📝 Matatizo ya Unene (obesity).
📝Msongo mkali wa mawazo wa Mdamlefu (Stress).
Msaada +255 673 389 190