09/05/2025
Changamoto Zinazoyokana na Kuvimba kwa Tezi Dume au Saratani ya Tezi Dume
1. Shida ya Kusimamisha uume (Erectile Dysfunction)
- Tezi ikivimba, inaweza kuathiri mishipa ya damu na neva zinazohusika na kusimamisha uume.
- Baadhi ya dawa za kutibu BPH pia husababisha matatizo ya kusimamisha.
2. Maumivu Wakati wa Tendo
- Prostatitis (maambukizi ya tezi dume) husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya kutoa shahawa.
3. Uchovu na Msongo wa Mawazo
- Saratani ya tezi dume au matibabu yake (k**a mionzi au upasuaji) huleta uchovu, kushuka kwa libido (hamu ya tendo), na wasiwasi.
4. Kupungua kwa Manii au Kutokutoa Manii
- Baada ya upasuaji wa tezi dume, baadhi ya wanaume hupoteza uwezo wa kutoa shahawa (retrograde ej*******on).
5. Hofu ya Maumivu au Kukosa Hamu
- Wengine huacha kufanya mapenzi kwa hofu ya kuumia au kushindwa kumridhisha mwenza.
📌 Habari njema ni kwamba matatizo haya yanaweza kutibiwa kwa dawa, ushauri wa kitaalamu, au tiba ya kisaikolojia.
Unafahamu Unaweza Kurejea Katika Hali yako ya Kawaida Baada ya Kupata matibabu kutoka TCM?
Comment Neno "Ndio" kwenda namba 0629835071 na Utapigiwa Simu