AfyaYako

AfyaYako Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AfyaYako, Vitamins/Supplements, Dar es Salaam.
(1)

NASAIDIA WATU KUPONA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA KWA KUTUMIA TIBALISHE, KAMA UPO TANZANIA AU NJE YA TANZANIA TUWASILIANE KUPITIA +255 763 421 857 / WHATSAPP

27/07/2026

UGONJWA WA FIGO ni hali ambayo figo zinashindwa kufanya kazi zake ipasavyo, k**a kuchuja taka na maji mengi kutoka kwenye damu, kudhibiti shinikizo la damu, na kusaidia kutengeneza chembe nyekundu za damu.

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO

●Dalili zinaweza kutokea taratibu, hasa katika ugonjwa sugu wa figo. Baadhi ya dalili ni:
●Kuvimba miguu, vifundo vya miguu, mikono au uso.
●Uchovu wa kupita kiasi na udhaifu.
●Kupungua au kuongezeka kwa mkojo.
●Mkojo wenye damu, povu nyingi, au maumivu wakati wa kukojoa (kutegemeana na chanzo).
●Kichefuchefu na kutapika.
●Kukosa hamu ya kula.
●Kuwashwa kwa ngozi.
●Kupumua kwa shida kutokana na maji ●kujikusanya mwilini.
●Misuli kukak**a au kupata degedege.
●Shinikizo la damu kuwa juu na kuwa gumu kudhibiti.

MADHARA YA UGONJWA WA FIGO
Usipotibiwa mapema, ugonjwa wa figo unaweza kusababisha:

■Kushindwa kabisa kwa figo kufanya kazi (kidney failure), na kuhitaji dialysis au upandikizaji wa figo.
■Shinikizo la damu kuongezeka au kuwa sugu.
■Upungufu wa damu (anemia).
■Kudhoofika kwa mifupa kutokana na ■kuvurugika kwa madini mwilini.
■Magonjwa ya moyo na mishipa ya damu.
■Mkusanyiko wa sumu mwilini unaoweza kuathiri ubongo na viungo vingine.
■Kuongezeka kwa hatari ya kifo ikiwa hautatibiwa.

17/06/2026

Hepatitis C
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini. Usipotibiwa mapema unaweza kuleta madhara makubwa kwa afya.
Baadhi ya madhara yake ni:

Kuharibika kwa ini taratibu
Ini kuwa na makovu (cirrhosis)
Saratani ya ini
Ini kushindwa kufanya kazi
Uchovu wa muda mrefu
Maumivu ya tumbo upande wa kulia
Ngozi na macho kuwa ya njano
Kuvimba miguu au tumbo
Kupungua uzito bila sababu
Kutokwa damu kirahisi kutokana na ini kuathirika
Watu wengi wenye Hepatitis C wanaweza kukaa miaka mingi bila dalili, ndiyo maana vipimo ni muhimu.
Ugonjwa huu unaweza kuenea kupitia:
Damu yenye maambukizi
Kushirikiana sindano
Vifaa visivyo safi vya kutoboa mwili au tattoo
Wakati mwingine kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
Habari nzuri ni kwamba siku hizi kuna dawa zinazoweza kuponya kabisa Hepatitis C kwa watu wengi wakianza matibabu mapema.

16/05/2026

Kusagika kwa pingili za uti wa mgongo hutokea pale ambapo mifupa au “diski” za uti wa mgongo zinaharibika au kuchakaa taratibu.

Hali hii inaweza kusababisha maumivu makali ya mgongo, shingo, au ganzi kwenye mikono na miguu.

Sababu za kusagika kwa pingili

●Kuzeeka na uchakavu wa kawaida wa mifupa
●Kubeba vitu vizito mara kwa mara
●Kukaa vibaya kwa muda mrefu
●Ajali au kuanguka
●Uzito mkubwa wa mwili
●Kukosa mazoezi

Magonjwa ya mifupa k**a arthritis
Dalili zake

●Maumivu ya mgongo au shingo
●Ganzi au kuchomachoma mikono/miguu
●Ugumu wa kuinama au kutembea
●Misuli kuwa dhaifu
●Maumivu yanayoenda mpaka miguuni au mikononi
●Madhara yanayoweza kutokea
●Kushindwa kufanya kazi vizuri
●Kupungua uwezo wa kutembea
●Kukandamizwa kwa mishipa ya fahamu
●Maumivu ya muda mrefu

Namna ya kujikinga na kupunguza tatizo

●Fanya mazoezi mepesi mara kwa mara
●Epuka kuinua vitu vizito vibaya
●Kaa au simama kwa mkao sahihi
●Punguza uzito k**a una uzito mkubwa
●Tumia godoro lisilo laini sana
●Pata mapumziko ya kutosha

16/05/2026

Hepatitis C
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini. Usipotibiwa mapema unaweza kuleta madhara makubwa kwa afya.

Baadhi ya madhara yake ni:

●Kuharibika kwa ini taratibu
●Ini kuwa na makovu (cirrhosis)
●Saratani ya ini
●Ini kushindwa kufanya kazi
●Uchovu wa muda mrefu
●Maumivu ya tumbo upande wa kulia
●Ngozi na macho kuwa ya njano
●Kuvimba miguu au tumbo
●Kupungua uzito bila sababu
●Kutokwa damu kirahisi kutokana na ini kuathirika
●Watu wengi wenye Hepatitis C wanaweza kukaa miaka mingi bila dalili, ndiyo maana vipimo ni muhimu.

UGONJWA HUU UNAWEZA KUENEA KWA KUPITIA:

●Damu yenye maambukizi
●Kushirikiana sindano
●Vifaa visivyo safi vya kutoboa mwili au tattoo
●Wakati mwingine kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto

Habari nzuri ni kwamba siku hizi kuna dawa zinazoweza kuponya kabisa Hepatitis C kwa watu wengi wakianza matibabu mapema.

16/02/2026

UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk

SABABU YA BAWASILI

Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa

3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

4.kupata kinyesi chenye damu

5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI

1.Uzito kupita kiasi(Overweight)

Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali

4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu

5.Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).

6.Kujisaidia Choo Kigumu.

Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni

AINA 2 ZA BAWASIRI

BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2.BAWASIRI YA NDANI

Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.

HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda

HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.

ATHARI ZA BAWASIRI

1.Upungufu wa damu mwilini

2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa

4.kupungukiwa nguvu za kiume

5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu

6.Kupata tatizo la kisaikolojia

Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua

TIBA YA BAWASILI

Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji

Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kuondoa bawasili bila upasuaji

Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupitia
0763 421 857

17/12/2025

Tiba ya moja kwa moja ya kusagika kwa pingili za uti wa mgongo.
Tuwasiliane 0763 421 857

17/12/2025

TIBA YA MOJA KWA MOJA YA KUSAGIKA KWA PINGILI ZA UTI WA MGONGO.
TUPIGIE 0763 421 857.

17/12/2025

TIBA YA MOJA KWA MOJA YA KUSAGIKA KWA PINGILI ZA UTI WA MGONGO
TUWASILIANE KWA NAMBA #0763421857

15/09/2025

SULUHISHO LA MOJA KWA MOJA LA ACID REFLUX
Tupigie 0763 421 857

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255763421857

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaYako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaYako:

Shortcuts

Share