Majemu-Healthcare

Majemu-Healthcare Medical Equipment Supplier

We are supplier of quality medical,hospital furniture,laboratory,Research equipment and consumables.Ni wauzaji na wasambazaji wa vifaa mbalimbali vya maabara, pia tunauza reagents mbalimbali

DW-L3 i – Ultrasound ya Kisasa kwa bei ya Kizalendo🩺 Screen ya inchi 15 HD • 3D Freehand • Auto IMT • Uzito kilo 5 tu • ...
07/07/2026

DW-L3 i – Ultrasound ya Kisasa kwa bei ya Kizalendo

🩺 Screen ya inchi 15 HD • 3D Freehand • Auto IMT • Uzito kilo 5 tu • Betri inakaa masaa 10

💰 Njia za Malipo:
✅ Cash – TZS 8,000,000 tu
✅ Kwa Awamu – Anza na TZS 4,500,000, malipo yaliyobaki baada ya miezi 10!

Tupigie kupitia 0789-367331

Tunapatikana Don Bosco Osterbay Dar Es salaam

Wengi wanauliza ,Je, kitanda kitafika salama mkoani?Hii ndiyo jinsi tunavyofunga kila kitanda kabla ya kusafirishwa kwa ...
02/07/2026

Wengi wanauliza ,Je, kitanda kitafika salama mkoani?

Hii ndiyo jinsi tunavyofunga kila kitanda kabla ya kusafirishwa kwa uangalifu, salama, tayari kwa safari ndefu

Kwa bei ya kizalendo ya tu ya TZS 300,000

Tupigie kupitia 0789-367331

Kitanda cha uchunguzi (Hospital Examination Bed)  kwa  TZS 300,000 tu!Kimetengenezwa hapa nchini, ubora wa hali ya juu, ...
02/07/2026

Kitanda cha uchunguzi (Hospital Examination Bed) kwa TZS 300,000 tu!

Kimetengenezwa hapa nchini, ubora wa hali ya juu, na tunasafirisha salama mikoa yote nchini Tanzania.

K**a uko nje ya Dar es Salaam, usijali — tunafunga vizuri na kinakufikia salam kabisaa

📲 Tupigie kupitia 0789-367331 tunapatikana Don Bosco Osterbay

Kuna daktari mmoja Kahama alituuliza: "Mtaweza kunifikishia mzigo salama?Jibu lilikuwa rahisi   Ndiyo. Na tukafanya hivy...
17/06/2026

Kuna daktari mmoja Kahama alituuliza: "Mtaweza kunifikishia mzigo salama?

Jibu lilikuwa rahisi Ndiyo. Na tukafanya hivyo.
Tunajua hofu zako:

🤔 Je, machine itafanya kazi vizuri?— Kila ultrasound tunaifanyia majaribio kamili kabla ya kuiondoa ofisini.

🤔 Je, itafika salama mpaka kwangu? — Tunafunga kwa makini na kufuatilia mzigo mpaka mlangoni mwako.

🤔 Je nikilipa kidogo kidogo, nitamudu?- Daktari mmoja alimaliza malipo yake, akatuandikia: "Nashukuru kwa kuniamini, hatimae nimemaliza.

Haijalishi uko Dar es Salaam, Kahama, Mwanza, au Mbeya — Majemu Healthcare tunakufikia sehemu yoyote ulipo

Hofu yako ya kwanza ndiyo sababu tunafanya kazi kwa namna hii kuhakikisha kila hatua tuko pamoja na wewe

💰 Dawei 580 — Cash Tsh 4,000,000 | Mkopo kuanzia Tsh 2,500,000, lipa miezi 5-10
👉 Uko tayari? WhatsApp: 0789 367 331

Wapendwa wateja karibuni sana kwa mahitaji mbali mbali ya vifaa vya mahospitaliniTunapatikana Don Bosco Osterbay Dar es ...
15/06/2026

Wapendwa wateja karibuni sana kwa mahitaji mbali mbali ya vifaa vya mahospitalini

Tunapatikana Don Bosco Osterbay Dar es salam unaweza kutupigia kupitia 0789-367331 au

0665-911271

05/06/2026

VIGEZO  NA MASHARTI YA LIPA KIDOGO KIDOGO.

A.  KWA VITUO VYA AFYA

(Inajumuisha Maabara, Diagnostic Centers, Dispensaries, Health Centers, Polyclinics na Hospitali)

1. Kituo kinapaswa kuwa na nyaraka halali za usajili kutoka mamlaka husika za Serikali, ikiwa ni pamoja na:

Usajili kutoka BRELA
Usajili kutoka Wizara ya Afya

2. Leseni halali ya biashara kutoka mamlaka husika.

3. Nyaraka zinazoonyesha wewe ndiye mmiliki wa kituo husika cha afya.
4. Kitambulisho cha Taifa (NIDA) cha mmiliki.
Ikiwa wamiliki ni zaidi ya mmoja, vitambulisho vya wote vinahitajika.

B. KWA WATU BINAFSI

(Wahusika binafsi wa kada za afya)

1. Muombaji anatakiwa awe mtaalamu wa afya katika kada yoyote, mfano:

Daktari
Muuguzi
Mtaalamu wa Maabara
Kada nyingine ya afya inayotambulika rasmi

2. Awe na leseni halali kutoka Bodi husika inayoidhinisha kada yake.
3. Awe na Kitambulisho cha Kazi kinachoonyesha anafanya kazi katika kituo cha afya au hospitali.
4. Kitambulisho cha Taifa (NIDA).

Maombi yanashughulikiwa ndani ya siku 7 za kazi

TUPIGIE KUPITIA 0789-367331 Tunapatikana Dae es salaam

Address

Makangira Street Near Don Bosco Ostrbay VTC
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:38 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:30 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Majemu-Healthcare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Majemu-Healthcare:

Share