Tiba bora Afya bora - Bfsuma

Tiba bora Afya bora - Bfsuma Suluhisho LA magonjwa hatarishi/sugu k**a Upungufu wa kinga, U.T.I , Bawasiri, Tezi dume, Nguvu Za k

PURE WELL WATER PURIFIER Ni kifaa cha kitekinolojia ya kiwango ya juu sana, inayosafisha, kurutubisha na kuzuia bacteria...
04/08/2020

PURE WELL WATER PURIFIER
Ni kifaa cha kitekinolojia ya kiwango ya juu sana, inayosafisha, kurutubisha na kuzuia bacteria wabaya,vumbi, kutu, michanga, rangi ya maji nk..

•Hufungwa moja kwa moja kwenye bomba LA maji na husafisha maji kuwa safi na salama kwa kunywa, kupika, na shughuli zingine za nyumban, ofisini, viwandani nk.

•Inaondoa kutu, vumbi na wadudu wote bila kuchemsha maji.

•Haitumii Umeme, Inatumia presha ya maji.

•Huboresha ladha na rangi ya maji na kuwa salama kabisa kwa matumizi.

°KARIBU NIKUHUDUMIE 0783548100

Wa kina Mama Karibu niwatibie UTI sugu.. 0783548100
03/08/2020

Wa kina Mama Karibu niwatibie UTI sugu.. 0783548100

DALILI ZA UGUMBA NA MATIBABU HUWA ZINAJULIKANA**DALILI K**A*-Hedhi kupishana,-Hedhi kutoka kidogo sana,-Hedhi kutoka nyi...
26/07/2020

DALILI ZA UGUMBA NA MATIBABU HUWA ZINAJULIKANA*
*DALILI K**A*
-Hedhi kupishana,
-Hedhi kutoka kidogo sana,
-Hedhi kutoka nyingi sana,
-Maumivu makali ya tumbo wakati/kabla au baada ya hedhi
-maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
-Kutokupata hedhi au hedhi kuruka miezi au kujirudia ndani ya mwezi ×2
-kuhisi mara kwa mara hali ya ujauzito na kila ukipima ni negative
-kutopata hamasa ya tendo la ndoa {si wote}
*MATIBABU*
-utatibiwa ugumba wewe mwanamke kulingana na chanzo cha tatizo k**a tulivyo ona vyanzo kuwa ni vingi,
-unashauriwa kutumia vyakula au virutubisho vya kusaidia hormon zako ziweze kubalance mara kwa mara
-K**a una matatizo mojawapo kati ya hayo tulio jifunza iwe ni maumivu wakati wa hedhi,hedhi kupishana,hedhi kutoka kidogo,hedhi kutoka nyingi,hedhi kutoka chafu,maumivu wakati wa tendo unashauriwa kutafta ufumbuzi kabla,
*USHAURI*
-kumbuka kuna *primary infertility* na *secondary infertility* Nikimaanisha hata k**a ulisha wahi kuwa na mtoto 1 au 2 nyuma bado unaweza ukapatwa na ugumba,cha muhimu niwewe kushughulikia dalili ulizo nazo.
MASWALI,MAONI,USHAURI NA MATIBABU TUMIA NO+255783548100/inbox

26/07/2020

TENDO LA NDOA WAKATI WA UJAUZITO. Wakati wa uja uzito wana wake wengi hukosa ham ya tendo LA ndoa ivyo mwana ume yakupasa kuwa na mawasiliano mazuri ili mambo ya ende sawa . JE WAkATI GANI MAMA MJAMZITO HALUSIWIWI KU FANYA TENDO LA NDOA. Nipale mwana mke anapo jasikia kua na breeding au maumivu yoyote au leakage ya maji maji yajulikanayo kitalaamu Amniaotic fluid. JE MWANAMKE MWNYE MIMBA ANAWEZA KUENDELEA KUFANYA TENDO LA NDOA akuna ushahidi wa kisayansi unaothibitisha kwamba tendo la ndoa kwa mwana make mwenye mimba ya hatua yoyote ya uja uzito inawezekana kumuathiri mwenyewe ama mtoto tumboni (fetus) . Hivyo tendo la ndoa ni sarama kabisa muda wore wa ujauzito. Ila utafiti unaonyesha lia kwamba mwanamke mwenye mimba hukosa ham ya tendon LA ndoa miezi mitatu (3) ya kwanza then hupenda sana tendo LA ndoa miezi mitatu (3)inayofuata na pia miezi mitatu(3) ya mwisho hukosa ham kwasababu ya ya kisaikolojia ya kusubiri mtoto kuzaliwa

X-POWER MAN CAPSULES ni bidhaa yenye mchanganyiko wa hali ya juu ya virutubisho vinavyo boresha afya ya uzazi kwa mwanau...
26/07/2020

X-POWER MAN CAPSULES ni bidhaa yenye mchanganyiko wa hali ya juu ya virutubisho vinavyo boresha afya ya uzazi kwa mwanaume
VIUNGO
* EPIMEDIUM -ni kirutubisho kinachoongeza hamu ya tendo la ndoa,, kinasaidia kuchelewa kufika kileleni na kuongeza uwezo wa s***m kurutubisha yai
* MACA -Inaongeza nguvu kwa mwanaume na kusimama kwa uume
FAIDA ZAKE
* Ina mchanganyiko wa kipekee wa vyakula vya asili vinavyoongeza ufanisi katika tendo la ndoa
* Inamuongezea mwanaume uwezo wa kufanya tendo la ndoa bila madhara yoyote
* Inasaidia kumuongezea mwanaume hali ya kujamiana
* Kuongeza wingi na ubora wa manii
* Inaondoa uchovu na msongo wa mawazo
* Inaboresha mzunguuko wa damu kwenye uume hali inayosaidia uume kusimama vizuri zaidi
Mwenye changomoto ya kutofika kileleni,kumaliza haraka ,n.k nichek kwa namba /0783548100/whatsup/0783548100

REFINED YUNZHI ESSENCE, TIBA YA KUONGEZA KiNGA YA MWILI.Bidhaa hii imetengengenezwa na uyoga bila kuwekwa kemikali yoyot...
26/07/2020

REFINED YUNZHI ESSENCE, TIBA YA KUONGEZA KiNGA YA MWILI.
Bidhaa hii imetengengenezwa na uyoga bila kuwekwa kemikali yoyote ile hivyo ni salama na inafaa kutumika na watu wa rika zote wake kwa waume na watoto.
Refined yunzhi Essence ina -:
Polysaccharide K (PSK) na polysaccharide peptide ambayo inafanya kazi ya kuzuia ukuaji wa seli usio wa kawaida.
Refined yunzhi essence inasaidia -:
1. Kuongeza kinga ya mwili, inawafaa watu wenye kinga ya chini ya mwili.
2. Inasaidia sana wanawake wenye uvimbe kwenye kizazi.
3. Inasaidia wagonjwa wa kansa wanaotumia tiba ya mionzi ya chemotherapy kwani hupunguza athari za mionzi na dawa za saratani kwa mhusika anayetumia.
4. Huimarisha mwili kujikinga dhidi ya vimelea vya saratani.
5. Kuongeza hamu ya kula 100%
6. Inasaidia kuondoa sumu mwilini
7. Hutatua tatizo la hormonal imbalance kwa wanawake.
DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE KWA WANAWAKE-:
1. Kukosa hedhi kabisa
2. Kutoka hedhi zaidi ya siku 7 au chini ya siku 3.
3. Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi.
4. Kutoka hedhi nyingi sana au mabonge ya damu.
5.kuumia chini ya kitovu au kupata hedhi inayouma sana.
5. Kukua kwa tumbo la chini.
K**a una matatizo tajwa hapo juu usisite kunitafuta kwa simu namba /0783548100/whatsup /0783548100

Mwanamke mwenye matatzo katika mfumo mzima wa Uzazi, mfano kutoka kwa mimba,kutokushika mimba nk.. Hili Ndio suluhishoKa...
26/07/2020

Mwanamke mwenye matatzo katika mfumo mzima wa Uzazi, mfano kutoka kwa mimba,kutokushika mimba nk.. Hili Ndio suluhisho
Karibu nikuhudumie
0783548100

Asilimia 90 ya wanaume saivi Sana tatizo LA nguvu za kiume . Hivyo hili ndio suluhisho lake.  Karibu nikuhudumie 0783548...
25/07/2020

Asilimia 90 ya wanaume saivi Sana tatizo LA nguvu za kiume . Hivyo hili ndio suluhisho lake. Karibu nikuhudumie 0783548100

Karibu nikuhudumie
24/07/2020

Karibu nikuhudumie

Wakina Dada\Mama hii ni kwa ajili yenu FEMICARE. Hutibu UTI sugu fangasi na miwasho. Kufanya sehem za siri kuwa salama n...
24/07/2020

Wakina Dada\Mama hii ni kwa ajili yenu FEMICARE. Hutibu UTI sugu fangasi na miwasho. Kufanya sehem za siri kuwa salama na hutokomeza harufu mbaya ukeni na hutokomeza uchafu na huboresha kuta za uke na kizazi . Karibu nikuhudumie 0783548100

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Telephone

+255783548100

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba bora Afya bora - Bfsuma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tiba bora Afya bora - Bfsuma:

Shortcuts

Share

Category