26/05/2026
K**a wewe ni mzazi na unajali kuhusu mahusiano yako na mwanao, unajali kuhusu kile kinachoendelea kwenye maisha ya mwanao na unatamani kuwa sehemu ya ukuaji wa mwanao basi hiki kitabu kinakuhusu
K**a wewe ni mzazi ambaye unasema mtoto wako ni msiri, mkimya na haongeagi kile anachopitia, basi hiki kinakuhusu.
K**a wewe ni mzazi ambaye unapata muda mchache sana kukaa na kuwa na mazungumzo na mtoto wako na unatamani muda huo mchache uweze kujua mambo mengi kwenye maisha ya mtoto wako, hiki pia kinakuhusu
Je, unajua mtazamo wa mtoto wako juu yako? Anavyokuona na kukuchukulia? Mtazamo wake juu ya walimu, shule na maisha je? Je, unajua mtazamo wake dhidi yake yeye mwenyewe? Anajifurahia, anajikubalia na anajiamini kwa kiwango gani?
Je, unawajua marafiki wa mtoto wako? Mazingira anayoyafurahia? Na mambo yanayomsumbua?
Yale mambo ya mtoto anafanyiwa unyanyasaji na ukatili mpaka anaharibika, hii ndio dawa.
Mambo ya nilikuwa sijui kinachoendelea kwenye maisha ya mtoto, hapa ndio mwisho.
Kianzisha Mazungumzo ni kitabu maalumu kichoandiliwa kiustadi na taasisi ya ili kuwawezesha wazazi kuanzisha na mazungumzo yenye tija na watoto wao; mazungumzo yenye kujenga imani baina ya mtoto na mzazi na kuwapa wazazi fursa ya kuelewa kile kinachoendelea kwenye saikolojia, fikra, na mazingira yote mtoto anapokuwa.
Piga 0718664741 kupata nakala yako kwa bei elekezi ya 15,000 pekee unapata nakala yako. Kuna cha lugha ya kingereza na kiswahili. Delivery ni juu ya mteja