TIBA ya AFYA sahihi

TIBA ya AFYA sahihi page hii huduma zinazo tolewa ni kuhusu ushauri wa kiafya na maisha ya yetu ya kila siku

Permanently closed.
UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEUpungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi k...
17/04/2023

UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.

Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

√Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
√Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
√Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✓Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi ✓KisukariKuwa na mawazo na wasiwasi
✓Matumizi ya madawa mbalimbali
✓Umri hasa wazeeUtumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✓Kuwa na tatizo la kibofuTabia za kujichua kwa mda mrefu
✓Kutopata usingizi kamili
✓Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa,

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Kuwahi kufika kileleniKukosa hamu ya mapenziKushindwa kurudia tendo la ndoaUume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
Wasiliana nasi 0769147533 bonyez link hii https://wa.link/zzx3p1

Karibu  ujipatie dawa nzuri ya Meno  DR TS Bei ni sh 20000 na   bonyeza link hii kwa maitaji ya booking https://wa.link/...
16/04/2023

Karibu ujipatie dawa nzuri ya Meno DR TS Bei ni sh 20000 na bonyeza link hii kwa maitaji ya booking
https://wa.link/zzx3p1

Maumivu ya jino yanaelezewa kuwa maumivu, kuvimba, au maumivu ndani au karibu na jino, inaweza kuwa uzoefu wa kukatisha tamaa na usio na furaha. Kando na maumivu makali au yasiyotubu, meno yanaweza kuhisi joto au shinikizo wakati wa kutafuna au kuuma.

Uteuzi wa Kitabu

Je, Maumivu ya Meno ni nini?

Maumivu ya kisu kwenye meno yako ni ishara kwamba unaweza kuwa na uharibifu wa jino. Cavities inaweza kusababisha toothache. Kupiga maumivu ya jino kunaweza pia kutokea ikiwa kuna maambukizi katika jino au ufizi unaozunguka. Maumivu ya meno husababishwa na bakteria au kuvimba kwa meno. Hii inaitwa pulpitis.

Kunde laini la waridi ndani ya jino lako husaidia kuliweka likiwa na afya na hai. Mimba ya meno ina tishu, mishipa, na mishipa ya damu.

Tundu au ufa kwenye jino huruhusu hewa na vijidudu kuingia kwenye jino. Hii inaweza kuwasha na kuambukiza mishipa nyeti kwenye massa, na kusababisha maumivu ya jino.

Sababu

Maumivu ya meno husababishwa na matatizo ya meno au taya. Maumivu ya jino yanaweza kuanzia yasiyopendeza kiasi hadi maumivu ya kupita kiasi.

Uharibifu wa jino ni sababu ya kawaida ya maumivu ya meno. Kwa mfano, meno yaliyovunjika au yaliyovunjika kwa sababu ya kiwewe yanaweza kusababisha maumivu ya jino. Vile vile, kujaza kuharibiwa au kuvunjwa, taji, au implant ya meno inaweza kuchangia maumivu ya jino.

08/04/2023
*Jinsi ya kutatua mgonjwa wa miwasho sehemu za siri bila ya kutumia madawa ya hospital*K**a wewe unasumbuliwa na tatizo ...
05/04/2023

*Jinsi ya kutatua mgonjwa wa miwasho sehemu za siri bila ya kutumia madawa ya hospital*

K**a wewe unasumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa fungasi basi ujumbe huu ni kwa ajili yako

Baada ya kuwasaidia watu zaidi ya 100 kutatua tatizo la mgonjwa ya ukeni nimeamua kutoa darasa la bure kabisa namna ya kutokomeza tatizo hilo bila ya kutumia madawa ya hospital

Matatizo ya ngozi k**a,
kutokwa uchafu sehemu za Siri, kuwasha kwa mashavu ya uke., Kuvimba kwa mashavu ya uke, uke kutoa harufu mbaya, kukosa hamu ya tendo la ndoa,,n.k

*k**a unasumbuliwa na tatizo hili la ukeni k**a umetumia kila njia na umeshindwa kutatua tatizo lako,
shiriki katika darasa hili la bure ambapo utajifunza namna ya kutatuwa tatizo lako ukiwa nyumbani bila ya kutumia madawa ya hospital

nitumie ujumbe whatsapp au bonyeza link chini ya ujumbe huu ..au nipigie simu nitakusaidia,* na nitakuingiza kwenye group hili na utaweza kujitibia tatizo lako ukiwa jumbani na utapona kabisa bila garama kubwa

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Call 0769147533 link, https://wa.link/zzx3p1

*Jinsi ya kutatua tatizo  la ugonjwa wa upungufu wa nguvu za kiume Ndani ya week 4  bila ya kutumia madawa ya hospital*K...
28/03/2023

*Jinsi ya kutatua tatizo la ugonjwa wa upungufu wa nguvu za kiume Ndani ya week 4 bila ya kutumia madawa ya hospital*

K**a wewe unasumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa upungufu wa nguvu za kiume basi ujumbe huu ni kwa ajili yako

Baada ya kuwasaidia watu wengi zaidi kutatua tatizo la ugonjwa wa nguvu za kiume nimeamua kutoa darasa la bure kabisa namna ya kutokomeza tatizo hilo bila ya kutumia madawa ya hospital

Zipo sababu nyingi zinazo pelekea nguvu za kiume kupungua ,k**a matatizo ya tenzi dume,
Matatizo ya kisaikolojia yanayo sababishwa na kujichuwa,
Matatizo ya moyo,
Matatizo ya mishipa,
Nk

*k**a unasumbuliwa na tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume au unashindwa kutungisha mimba k**a umetumia kila njia na umeshindwa kutatua tatizo lako,
shiriki katika darasa hili la bure ambapo utajifunza namna ya kutatuwa tatizo lako ukiwa nyumbani bila ya kutumia madawa ya hospital

nitumie ujumbe whatsapp au bonyeza link chini ya ujumbe huu ..au nipigie simu nitakusaidia,* na nitakuingiza kwenye group hili na utaweza kujitibia tatizo lako ukiwa jumbani na utapona kabisa bila garama kubwa

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Call 0769147533 link, http://surl.li/fvucz

*Jinsi ya kutatua tatizo  la ugonjwa wa ngozi au tunaita autoimmune disease  bila ya kutumia madawa ya hospital*K**a wew...
24/03/2023

*Jinsi ya kutatua tatizo la ugonjwa wa ngozi au tunaita autoimmune disease bila ya kutumia madawa ya hospital*

K**a wewe unasumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa ngozi au kwa jina lingine autoimmune disease basi ujumbe huu ni kwa ajili yako

Baada ya kuwasaidia watu zaidi ya 100 kutatua tatizo la ugonjwa wa ngozi nimeamua kutoa darasa la bure kabisa namna ya kutokomeza tatizo hilo bila ya kutumia madawa ya hospital

Matatizo ya ngozi k**a,
Kupoteza rangi ya ngozi katika ngozi kutokana na uharibifu wa autoimmune wa seli ambazo hupa ngozi rangi,
rangi ya ngozi kuwa na mabaka mabaka katika maeneo machache tu ambayo yanaweza kuunganishwa pamoja, matatizo ya michirizi kwenye mapaja wanapata sana watu wa nene na matatizo yoyote ya ngozi,matatizo ya kuwa na weusi kwenye kwapa na seheme za maeneo ya siri

*k**a unasumbuliwa na tatizo hili la ngozi k**a umetumia kila njia na umeshindwa kutatua tatizo lako,
shiriki katika darasa hili la bure ambapo utajifunza namna ya kutatuwa tatizo lako ukiwa nyumbani bila ya kutumia madawa ya hospital

nitumie ujumbe whatsapp au bonyeza link chini ya ujumbe huu ..au nipigie simu nitakusaidia,* na nitakuingiza kwenye group hili na utaweza kujitibia tatizo lako ukiwa jumbani na utapona kabisa bila garama kubwa

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Call 0769147533 link, https://wa.link/zzx3p1

24/03/2023

Hey

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa ...
06/04/2022

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
👉- Ukavu ukeni
👉- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉- Kutoa jasho usiku
👉- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
👉- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
👉- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
👉- Uchovu wa mara kwa mara
👉- Hasira za mara kwa mara
👉- Kukosa usingizi

👉- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
👉- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
👉- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
👉- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele)
👉- Maumivu ya viungo
👉- Upungufu wa nywele kichwani.
👉- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
👉- Kuwa na hamu ya kula vyakula au vinywaji vya wa ndani.
👉- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
👉- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
👉- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
👉- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini

👉- Kusinyaa na kupauka kwa
ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
👉- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
👉- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
👉- Kutokupata choo kwa wakati
👉- Misuli hudondoka

Karibuni kwa ushauri na matibabu
0769147533 au bonyeza link hii https://wa.link/zzx3p1

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa ...
06/04/2022

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
👉- Ukavu ukeni
👉- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉- Kutoa jasho usiku
👉- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
👉- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
👉- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
👉- Uchovu wa mara kwa mara
👉- Hasira za mara kwa mara
👉- Kukosa usingizi

👉- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
👉- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
👉- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
👉- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele)
👉- Maumivu ya viungo
👉- Upungufu wa nywele kichwani.
👉- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
👉- Kuwa na hamu ya kula vyakula au vinywaji vya wa ndani.
👉- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
👉- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
👉- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
👉- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini

👉- Kusinyaa na kupauka kwa
ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
👉- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
👉- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
👉- Kutokupata choo kwa wakati
👉- Misuli hudondoka

Karibuni kwa ushauri na matibabu
0699808523

15/12/2021

*Jinsi ya kutatua tatizo la kukosa ujauzito bila ya kutumia madawa ya hospital*

K**a wewe ni mwanamke mwenye tatizo la kukosa ujauzito basi ujumbe huu ni kwa ajili yako

Baada ya kuwasaidia wanawake zaidi ya 100 kutatua tatizo lao nimeamua kutoa darasa la bure kabisa namna ya kutokomeza tatizo hilo bila ya kutumia madawa ya hospital

Sababu Za Mwanamke Kukosa Kizazi

Ili mwanamke apate mimba, sehemu zote za mwili wake zinazohusika na uzazi zinatakiwa zifanye kazi inavyotakiwa na katika hatua zote. Hatua katika utengenezaji wa mimba ni k**a zifuatazo:

1. Moja kati ya ovari mbili za mwanamke kuachia yai lililokomaa
2. Yai hii kusafirishwa na mrija wa uzazi (fallopian tube)
3. Mbegu za mwanamme kusafiri hadi kwenye cervix, kupitia tumbo la uzazi (uterus) hadi kwenye mrija wa uzazi, kulifikia yai na kulipevusha.
4. Yai lililopevushwa kusafiri kupitia mrija wa uzazi hadi kwenye tumbo la uzazi (uterus).
5. Yai kunata kwenye ukuta wa uterus na kukua.

*k**a na wewe utapenda kushiriki katika darasa hili la bure nitumie ujumbe whatsapp 0699808523 au bonyeza link apo chini* na nitakuingiza kwenye group hili bure kabisa bila garama yoyote hile

https://tinyurl.com/h948x9uh

Address

Mlimani Tower
Dar Es Salaam

Telephone

+255769147533

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TIBA ya AFYA sahihi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to TIBA ya AFYA sahihi:

Shortcuts

Share