15/05/2021
CHUKUA MDA KIDOGO KUSOMA HUU UJUMBE HUENDA UKAWA UJUMBE MUHIMU KULIKO UJUMBE WOTE ULIOWAHI KUUSOMA LEO.
KWANINI MTU ANAKOSA NGUVU ZA KIUME:
Endapo mwanaume anashindwa kusimamisha uume (p***s), uumekukosa
nguvu ya kutosha kuingia ndani ya mwanamke au kushindwa kurudia tendo
la ndoa baada ya kumaliza bao moja
(kukojoa mara moja), huyu tuna mwita
anaupungufu wa nguvu za kiume (importency).
Kusima kwa uume kunatokana na mapigo
ya moyo kupanda baada ya mtu kupata
ashki ya kufanya tendo la ndoa(sex
arousal), hivyo basi moyo husukuma
damu nyingi kuelekea sehemu za uzazi
ambayo damu hio huijaza mishipa
midogomidogo ya damu (sponge-like
bodies) inayotengeneza uume(p***s).
Sababu zinazosababisha tatizo la nguvu za
kiume zinawekwa katika makundi mawili.
*Matatizo ya kiafya ya mwili (organic
causes).
* Matatizo ya kisaikologia ( Psychological
cause).
MATATIZO YA KIAFYA NI K**A:
>Magonjwa ya kisukari, (diabetes mellitus).
> Ugonjwa wa presha (blood pressure).
> Matatizo ya tezi dume (k**a mtu
amewahifanyiwa operation)
(prostatectomy surgery),
> Upungufu au mvurugiko wa uzalishaji
Homoni za uzazi (hormonal insufficiencies
/hypogonadism).
> Athari za matumizi ya dawa kwa muda
mrefu (drug side effect).
Matatizo haya kwa pamoja hupelekea
mishipa ya damu kuziba na mwishowe
misuli inakosa ngu za kuwezakusimama
na hatimae uume husinyaa.
MATATIZO LA KIFIKRA (Psychological reasons),
Mtu anaweza shindwa kusimamisha uume
kutokana na matatizo ya kimawazo, k**a
vile migogoro katika mahusiano, matatizo
ya kimaisha, tatizo hili hupelekea
wanaume wengi kukojoa kwa haraka sana
hali ambayo haileti raha.Lakini linatibika.
>Kushindwa kusimamisha uume mara kwa
mara,
> Uume kulala(kusinyaa)katikati ya tendo la ndoa.
> kushindwa kusimamisha ipasavyo.
> Kukojoa haraka mara baada ya kuanza
kujamiiana. Au kukaa muda mrefu sana
bila kukuojoa.
> Maumivu ya misuli ya uume wakati wa
tendo la ndoa.
Kwa maelezo au ushauri zaidi Wasiliana nasi
Kwa namba +255713936540 au 0752936540