Miracolo Hospital

Miracolo Hospital Miracolo Hospital was openned june this year and we focus on delivering quality care and value for m

At Miracolo we bring together specialist from all four majour depertment, we have an ultra modern well operating laboratory equipped with variety of tests,
Collectively our hospital opens 24hrs with full functioning Laboratory pharmacyand highly qualified team of stuffs
At Miracolo our Motto is to Save life,we focus on the needs of the patients and their diseases while balancing the goal of provi

ding superb highest standard of care in affordable and easly accessible way. Strong focus on patient safety,continual improvement and best clinical outcome

Happy New Month! πŸŽ‰Tunawashukuru sana kwa kuendelea kutuamini na afya yenu. Mwezi huu na ujao tunakuahidi huduma bora zai...
01/06/2026

Happy New Month! πŸŽ‰
Tunawashukuru sana kwa kuendelea kutuamini na afya yenu. Mwezi huu na ujao tunakuahidi huduma bora zaidi.
Afya yako, kipaumbele chetu ❀️
Tuko Tabata Sanene, Liam Street | 0719 856 600 / 0757 856 600

AFYA YAKO HAIWEZI KUSUBIRI! 🚨  Dakika moja inaweza kubadilisha maisha.  Miracolo Hospital, Emergency Unit iko tayari 24/...
29/05/2026

AFYA YAKO HAIWEZI KUSUBIRI! 🚨
Dakika moja inaweza kubadilisha maisha.
Miracolo Hospital, Emergency Unit iko tayari 24/7 kwaajili yako.

Tunapokea Bima: NHIF, MO, Strategis, Jubilee, Britam, GA + nyinginezo.
πŸ“ Tabata Sanene, Liam Street
πŸ“ž 0719 856 600 | 0757 856 600

Eid Mubarak! Wishing you and your loved ones a joyful and blessed Eid. Thank you for your continued trust ,it means the ...
27/05/2026

Eid Mubarak! Wishing you and your loved ones a joyful and blessed Eid. Thank you for your continued trust ,it means the world to us. your health is our priority .

.

Unasumbuliwa na maumivu ya tumbo au tatizo lingine la kiafya?  Usikae kimya! Wataalam wetu wapo tayari kukusaidia.  πŸ“Tab...
26/05/2026

Unasumbuliwa na maumivu ya tumbo au tatizo lingine la kiafya?
Usikae kimya! Wataalam wetu wapo tayari kukusaidia.

πŸ“Tabata Sanene, Liam Street.
πŸ“žTupigie 0719856600
Afya yako, kipaumbele chetu πŸ’™

Katika kusherehekea miaka 10 ya kutoa huduma bora za afya, Miracolo Hospital tunatambua mchango mkubwa wa wazee wetu kwe...
23/05/2026

Katika kusherehekea miaka 10 ya kutoa huduma bora za afya, Miracolo Hospital tunatambua mchango mkubwa wa wazee wetu kwenye jamii. K**a zawadi yetu kwa jamii, tunakuletea kambi maalum ya kutoa Ushauri wa Afya BURE kwa Wazee kuanzia tarehe 27 Mei hadi 5 June, 2026.Huduma zitakazotolewa ni pamoja na:Ushauri wa kitabibuVipimo vya shinikizo la damu (BP)Mazoezi Tiba (Physiotherapy)Ushauri wa lishe na mtindo wa maishaUshauri wa matumizi sahihi ya dawaMlete mzazi au mzee wako apate huduma hii bila malipo yoyote!πŸ“ Mahali: Tabata Sanene, Liam Street⏰ Muda: Saa 2:00 Asubuhi – Saa 12:00 JioniπŸ“ž Mawasiliano: 0719 856 600Wazee Wetu ni Hazina, Tuwajali! πŸ’™

Miracolo Hospital tunakuletea fursa ya kipekee ya kukutana na Madaktari Bingwa leo bila foleni ndefu na kwa gharama nafu...
23/05/2026

Miracolo Hospital tunakuletea fursa ya kipekee ya kukutana na Madaktari Bingwa leo bila foleni ndefu na kwa gharama nafuu.

βœ… Pediatrician - Kwa afya ya watoto wako
βœ… Physician - Kwa magonjwa ya ndani
βœ… Gynecologist - Kwa afya ya uzazi
βœ… Optician - Kwa macho yako
βœ… Physiotherapy - Kwa misuli na viungo

Offer ya Leo: Wasiliana nasi sasa upate ushauri wa haraka kutoka kwa wataalamu.

πŸ“ Tabata Sanene, Liam Street
πŸ“ž Wahi sasa: 0757 856 600 | 0719 856 600
⏰ Maana ya afya bora ni hatua ya leo!

*Eid al-Adha Mubarak* πŸŒ™βœ¨Kutoka familia ya *Miracolo Hospital* tunakutakia sikukuu njema ya Eid al-Adha. Mungu akubariki ...
19/05/2026

*Eid al-Adha Mubarak* πŸŒ™βœ¨

Kutoka familia ya *Miracolo Hospital* tunakutakia sikukuu njema ya Eid al-Adha. Mungu akubariki wewe na familia yako kwa amani, afya njema na baraka tele.

πŸ“ *Tupo:* Tabata Sanene, Liam Street
πŸ“ž *Kwa mawasiliano zaidi tupigie:* 0719 856 600

Wiki hii karibu Miracolo Hospital kwa huduma za wataalamu bingwa:πŸ‘¨πŸΎβ€βš•οΈ *Daktari Bingwa wa Moyo, Presha na Sukari* – Kwa ...
18/05/2026

Wiki hii karibu Miracolo Hospital kwa huduma za wataalamu bingwa:

πŸ‘¨πŸΎβ€βš•οΈ *Daktari Bingwa wa Moyo, Presha na Sukari* – Kwa uchunguzi na udhibiti wa magonjwa sugu
πŸ‘©πŸΎβ€βš•οΈ *Daktari Bingwa wa Kina Mama* – Huduma za uzazi, uzazi wa mpango na afya ya mwanamke
πŸ‘ΆπŸΎ *Daktari Bingwa wa Watoto* – Kwa ukuaji, chanjo na matibabu ya mtoto wako

*β€œKutana na Madaktari wetu Bingwa wakiendelea kutoa huduma za uchunguzi na matibabu”*

πŸ“ Tupo: Tabata Sanene, Liam Street
πŸ“ž Tupigie sasa: 0719 856 600 | 0757 856 600

we save lives

Mtoto wako anakataa kula? Usipuuze! 🚨  Kuna sababu nyingi zinazoweza kufanya mtoto akose hamu ya kula – kutoka magonjwa,...
15/05/2026

Mtoto wako anakataa kula? Usipuuze! 🚨

Kuna sababu nyingi zinazoweza kufanya mtoto akose hamu ya kula – kutoka magonjwa, kuota meno, hadi upungufu wa virutubisho. Jambo muhimu ni kutambua mapema na kuchukua hatua.

Hizi hapa sababu 10 za kawaida na dalili za kuwa mwangalifu nazo.
Afya ya mtoto wako, kipaumbele chetu!

K**a mtoto wako anakataa kula kabisa, anapungua uzito, ana homa ya muda mrefu au anaonekana dhaifu sana, wahi hospitali haraka.

πŸ“ Tupo Tabata Sanene, Liam Street
πŸ“ž Tupigie sasa: 0719 856 600 | 0757 856 600

Kwa afya na furaha ya mtoto wako πŸ’™  Kila mtoto anastahili huduma salama na yenye ubora.  Miracolo Hospital Pediatric Cli...
15/05/2026

Kwa afya na furaha ya mtoto wako πŸ’™
Kila mtoto anastahili huduma salama na yenye ubora.
Miracolo Hospital Pediatric Clinic ipo hapa kwa ajili ya ukuaji na maendeleo ya mtoto wako.
Tunajali | Tunatibu | Tunalea
πŸ“ Tabata Sanene, Liam Street
πŸ“ž 0719 856 600

Address

Tabata Sanene, Opposite Tusiime Primary School
Dar Es Salaam
255

Telephone

+255719856600

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Miracolo Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Miracolo Hospital:

Share

Category