ELIMU YA AFYA BORA

ELIMU YA AFYA BORA karibun kujua kuhusu afya kma utakuwa n changamoto yoyote kuhusu afya uliza hapa au piga simu +255748730726

Makosa 3 ya Lishe Yanayoweza Kuvuruga Homoni1. Kula sukari kupita kiasi Soda, juisi zenye sukari nyingi, keki na p**i.2....
12/06/2026

Makosa 3 ya Lishe Yanayoweza Kuvuruga Homoni

1. Kula sukari kupita kiasi Soda, juisi zenye sukari nyingi, keki na p**i.

2. Kuruka milo mara kwa mara.

3. Kutokula vyakula vyenye mafuta ya asilia, Parachichi, samaki, karanga

nini ufanye ili uepukane na ugumba au mateso ya kukosa mtoto,ni lazima lishe yako ya siku iwe na hivi vitu,Folate (Vitam...
10/06/2026

nini ufanye ili uepukane na ugumba au mateso ya kukosa mtoto,

ni lazima lishe yako ya siku iwe na hivi vitu,

Folate (Vitamin B9) – mboga za majani, kunde
Iron – maini, nyama, mboga za kijani
Omega-3 – samaki k**a dagaa
Protein ya kutosha

na uepuke sana vitu k**a,
Sukari nyingi (husababisha insulin resistance → inaweza kuleta PCOS) na
Vyakula vya kukaanga sana

ikiwa hii ndio lishe yako na unatumia vitu hivi angalau mara tatu kwa wiki na huna matokeo yoyote

basi fika kituo Cha afya na kwame usikubali kuambiwa kuwa huna tatizo na Hali ya kuwa hushiki mimba,

au wasiliana nami kwa ushauri.

Usikubali maneno ya kukukatisha tamaa yakakuondolea amani ya moyo wako kwani furaha ya moyo ndio msingi wakwanza wa kuku...
04/06/2026

Usikubali maneno ya kukukatisha tamaa yakakuondolea amani ya moyo wako kwani furaha ya moyo ndio msingi wakwanza wa kukupa mtoto

*Uchafu mweupe ukiuvumilia kwa muda mrefu utakusababishia mirija kuziba na ugumba wa usio na mwisho.*
03/06/2026

*Uchafu mweupe ukiuvumilia kwa muda mrefu utakusababishia mirija kuziba na ugumba wa usio na mwisho.*

03/06/2026

🚨 WANAUME WENGI HUCHANGANYA HAYA MAMBO MAWILI! 🚨

Kuwa na hamu ya tendo si sawa na kuwa na nguvu za kiume.

✅ Hamu ya tendo ni kutamani kushiriki tendo la ndoa.
✅ Nguvu za kiume ni uwezo wa kusimamisha na kudumisha uume kwa ufanisi.

Wapo wanaume wenye hamu kubwa lakini nguvu za kiume ni dhaifu. Pia wapo wenye nguvu za kiume lakini hamu ya tendo imepungua.

Je, tofauti hizi zinasababishwa na nini? Na zinawezaje kutatuliwa?

🎥 Nimeeleza kwa undani kwenye video hii ya YouTube.

👉 INGIA SASA UTAZAME:
https://youtube.com/?si=ZEJ5IAfDnNDEpmwH

Usisubiri kusikia kwa wengine. Fungua link sasa ujifunze ukweli ambao wanaume wengi hawaujui!

Huyu dada alikuwa kakata tamaa kabisa ya kushika ujauzito👩‍🍼Nakumbuka siku ambayo naongea naongea nae maneno yake yaliku...
10/05/2026

Huyu dada alikuwa kakata tamaa kabisa ya kushika ujauzito👩‍🍼

Nakumbuka siku ambayo naongea naongea nae maneno yake yalikuwa yanatoka kwa uchungu sana😔

Na kusema kaisha tumia dawa nyingi sana pamoja na kusafishwa kizazi mara mbili bila mafanikio,

Ila baada ya kutumia mimba plus anaenda kuwa mama naomba tumpongeze kwa hatua hii maana sio ndogo💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃

*“Alikuwa amesubiri kwa muda mrefu… leo ametuma ujumbe wa furaha akisema:‘Hbar Dr…nimejifungua alhamdulillah baby girl’ ...
08/05/2026

*“Alikuwa amesubiri kwa muda mrefu… leo ametuma ujumbe wa furaha akisema:
‘Hbar Dr…nimejifungua alhamdulillah baby girl’ ❤️👶

Hii ni zaidi ya ushuhuda… ni safari ya matumaini iliyotimia.

Kutoka kutafuta ujauzito… kupata mimba… hadi kujifungua salama.
Mimba Plus baba laooo 🔥

Kwa wanaopitia changamoto ya kupata mtoto, usikate tamaa… na wewe ushuhuda wako unaweza kuwa unaofuata.

Kwa maelezo zaidi WhatsApp/Call: 0748739726”

Habari za asubuhi wapendwa wa kundi hili la AFYA YA MAMA NO 1 - 11 na ELIMU YA AFYA BORA​Jana tuliona jinsi ya kutumia v...
07/05/2026

Habari za asubuhi wapendwa wa kundi hili la AFYA YA MAMA NO 1 - 11 na ELIMU YA AFYA BORA

​Jana tuliona jinsi ya kutumia vitu k**a ufuta na asali kusaidia mfumo wa ovulation. Ni njia nzuri na salama kwa kuanzia.

​Lakini, kuna swali moja limekuwa likijirudia inbox:

​"Daktari, mbona mimi nimetumia njia hii kwa muda mrefu lakini bado sijafanikiwa kupata ujauzito?"

​Jibu ni rahisi: Mwili wa binadamu ni tofauti. Kuna wakati changamoto imekaa ndani zaidi kiasi kwamba inahitaji nguvu ya ziada ya mitishamba iliyofanyiwa utafiti na kuandaliwa kwa vipimo maalum.

​Hapo ndipo uzazi salama, inakuja kusaidia.

​Kwanini Dawa hii ni tofauti na ufuta au asali?

​Mchanganyiko Adimu: Ina zaidi ya aina 7 za mizizi na magome ya miti ambayo haipatikani sokoni, inayolenga moja kwa moja kusafisha mirija na kuimarisha kuta za kizazi.

​Vipimo Sahihi: Tofauti na kujipimia ufuta jikoni, hii imeandaliwa kwa vipimo maalum vinavyoenda kufanya kazi kwa haraka zaidi.

​Imesaidia Wengi: Hii ndiyo siri ya zile shuhuda mnazoziona hapa kila siku.

​Unaihitaji leo?

K**a umechoka kusubiri na unataka kuanza safari yako ya kuitwa "Mama" sasa, nimeandaa dozi chache sana kwa ajili ya wiki hii.

Tuma neno " NAHITAJI DOZI" kwenda inbox yangu sasa hivi au piga simu namba 0748739726

​Zingatia: Afya yako na ndoto yako ya kupata mtoto ndiyo kipaumbele chetu.

📌 MASWALI YA UZAZI YANAYOWATESA WANAUME NA WANAWAKE1. Je, ni kwanini napata hedhi kila mwezi lakini sipati mimba?2. Ni n...
19/04/2026

📌 MASWALI YA UZAZI YANAYOWATESA WANAUME NA WANAWAKE

1. Je, ni kwanini napata hedhi kila mwezi lakini sipati mimba?
2. Ni nini husababisha mwanaume kuwa na mbegu dhaifu au chache?
3. Kwa nini mwanamke anapata mimba haraka, lakini mwingine anachukua muda mrefu sana?
4. Je, kutoa mimba (abortion) kunaweza kuharibu uwezo wa kupata ujauzito baadaye?
5. Ni sababu gani zinazosababisha mimba kuharibika mara kwa mara?
6. Je, unene uliopitiliza au uzito mdogo unaathiri uwezo wa kupata mtoto?
7. Ni kwanini mwanamke anakosa hedhi bila kuwa mjamzito?
8. Je, maambukizi ya mara kwa mara sehemu za siri yanaweza kusababisha ugumba?
9. Kwa nini mwanaume anashindwa kudumu kwenye tendo la ndoa?
10. Je, vyakula vinaweza kuharibu au kuboresha uwezo wa uzazi?
11. Ni dalili zipi zinaonyesha mayai ya mwanamke hayakomai vizuri?
12. Je, kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa muda mrefu kunaathiri uzazi?
13. Ni kwanini baadhi ya wanawake hawapati hisia wakati wa tendo la ndoa?
14. Je, msongo wa mawazo (stress) unaathiri uwezo wa kupata mimba?
15. Ni wakati gani sahihi wa kufanya tendo ili kupata ujauzito?
16. Kwa nini mwanaume anawahi kufika kileleni (kumwaga haraka)?
17. Je, tatizo la homoni linaweza kuzuia kupata mtoto?
18. Ni kwa nini baadhi ya wanandoa wote wanaonekana wazima lakini hawapati mtoto?



📌 UJUMBE MUHIMU
Maswali haya yanaonesha ukweli mmoja 👉 matatizo ya uzazi ni ya kawaida, lakini yanahitaji uelewa sahihi na matibabu sahihi mapema.

👉 K**a unapitia changamoto yoyote kati ya hizi:
DAWA ZIPO zimeandaliwa kusaidia kusawazisha homoni, kuboresha mbegu za kiume na kuimarisha afya ya uzazi kwa ujumla.

📞 Wasiliana nasi: +255748739726

15/04/2026

Nguvu za kiume na umri

Address

Tanzanite Tower Mwenge Dar Ess Salam
Dar Es Salaam

Telephone

+255748739726

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ELIMU YA AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to ELIMU YA AFYA BORA:

Shortcuts

Share