Afya fit Tiba Asili

Afya fit Tiba Asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya fit Tiba Asili, Medical and health, Dar es salaam, Ilala.

Dr Monicah
Nawasaidia Wanaume Kutatua Changamoto Za Uzazi Ikiwemo Upungufu Wa Nguvu Za Kiume na Tezi Dume Kwa Kutumia Lishe, Mazoezi,Kanuni Za Kisaikolojia na Tiba Asilia kupona KABISA
wa.me/+255789907021

28/07/2026

MWANAUME, USISUBIRI MAUMIVU NDIYO YAKUAMBIE KUWA UNA TATIZO

Wanaume wengi huanza na dalili ndogo sana...
Kuamka usiku kukojoa mara 2 au 3.
Mkojo kutoka kwa kusuasua.
Nguvu za kiume kupungua taratibu.

Lakini kwa sababu hakuna maumivu makali, wanaendelea kupuuzia.

Kumbuka:
👉 Tezi dume haianzi kwa dharura. 👉 Nguvu za kiume hazipotei kwa siku moja. 👉 Afya yako huharibika taratibu kabla hujaona tatizo kubwa.

Mwanaume mwenye hekima hachukui hatua baada ya kuugua... Anachukua hatua kabla hali haijawa mbaya.

Anza kujenga afya yako leo kupitia lishe bora, mazoezi, usingizi wa kutosha na uchunguzi wa mapema.

K**a una miaka 40+ na umeanza kuona mabadiliko yoyote kwenye mkojo au nguvu za kiume, andika "AFYA" inbox nikuelekeze hatua za awali za kujilinda.

Usisubiri dalili zikulazimishe kuchukua hatua.

Chukua hatua kabla ya dalili kuwa kubwa.

27/07/2026

K**a Wewe Hupati Haya Basi Chukua Hatua Haraka ,Suluhisho Asili na Salama lipo.

Wasiliana nasi sasa wa.me/255789908021

24/07/2026

Huduma Zetu na Bidhaa Zetu Zinakufikia popote pale Ulipo ndani na nje ya Nchi.

Agiza Package yako leo maana Uaminifu ni Jadi Yetu.

24/07/2026

Ni Lazima Uelewe Haya Madhara ili Unapofanya Upasuaji Yakikutokea Usisgangae.

Mwili wako Una uwexo wa Kujiponya bila Upasuaji ukiwahi na kuupa Mazingira Sahihi.

Chukua hatua leo ,wasiliana nasi kupitia 👇
wa.me/255789907021.

24/07/2026

Usiku wa leo ulikuwaje kwako?

Mwanaume mwenye tezi dume iliyovimba hapati muda wa mwili kujirudia na kujenga upya.

Kila ukianza kupata usingizi mzito, kibofu kinakusukuma uamke uende msalani.

Matokeo yake, unaamka asubuhi ukiwa umechoka, una maumivu ya viuno, na huna hamu wala nguvu ya kuanza siku.

Hautakiwi kuendelea kuishi maisha ya mateso na uchovu wa kudumu.

Ndani ya E-book yetu ya 'Hatua 9 za Uponyaji Asili', tunakufundisha mbinu maalum za lishe ya jioni na vinywaji vya asili vinavyotuliza kibofu usiku ili ulale masaa mfululizo bila kuamka amka.

​Nitumie neno "HATUA 9" Inbox sasa hivi nikupe mwongozo wa namna gani ya kupata E-book hii ili kurejesha amani yako ya usiku.

Address

Dar Es Salaam
Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya fit Tiba Asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya fit Tiba Asili:

Shortcuts

Share