20/05/2026
HOSPITALI YA RUFAA NA MAFUNZO ST. GASPAR ITIGI INAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA KUANZIA TAREHE 1–5 JUNI 2026 KUTAKUWA NA KAMBI MAALUMU YA MATIBABU YA KINYWA NA MENO, ITAKAYOENDESHWA KWA USHIRIKIANO NA MADAKTARI KUTOKA MAREKANI.
HUDUMA ZITAKAZOTOLEWA
1. Kuziba meno yaliyotoboka
2. Kung’oa meno yaliyoharibika sana bila maumivu
GHARAMA ZA MATIBABU: TSH 10,000/= TU
Gharama hizo zitajumuisha:
✅ Kumuona daktari
✅ Uchunguzi wa kinywa na meno kwa teknolojia ya X-Ray
✅ Dawa za kutuliza maumivu na kuzuia maambukizi baada ya matibabu
WENYE BIMA WANAPOKELEWA!!!
MAWASILIANO
📞 +255 755 454 040
📞 +255 764 077 625
📞 +255 766 027 210
📞 +255 769 956 853