Tobias Pazia

Tobias Pazia Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tobias Pazia, Marriage Therapist, Tobias Pazia, Lushoto.

16/04/2026

Watch, follow, and discover more trending content.

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ’–
20/02/2026

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ’–

Watch, follow, and discover more trending content.

20/02/2026

Check out Mth.Tobias Pazia’s post.

Ni Mungu tuu
25/01/2026

Ni Mungu tuu

MAOMBI YA UKOMBOZI WA FAMILIA.Mungu anapotaka kufanya jambo fulani katika eneo fulani huwa anaanza na mtu mmoja. Mara zo...
30/12/2025

MAOMBI YA UKOMBOZI WA FAMILIA.

Mungu anapotaka kufanya jambo fulani katika eneo fulani huwa anaanza na mtu mmoja.

Mara zote hutumia mtu mmoja kuleta ukombozi katika familia, au jamii au hata taifa.

Wewe kupata nafasi ya kujua haya na kujifunza haya ni kwa sababu Mungu anataka kufanya jambo juu ya familia yako.

Ndiyo maana uko hapa leo. Na leo tunashughulika na ukombozi wa familia.

Kuna vitu vingi sana ambavyo vipo katika familia nyingi na si vya Mungu, wala havikupangwa na Mungu.

Na watu wengi hawajui chanzo chake ni nini.

Luka 11:21-22 Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha zake, alindapo nyumba yake, vitu vyake vi salama; lakini mtu mwenye nguvu kuliko yeye atakapomwendea na kumshinda, amnyang’anya silaha zake zote alizokuwa akizitegemea, na kuyagawanya mateka yake.

Bwana Yesu anaongelea mtu mwenye nguvu za rohoni na sio mwilini. Na hapa anaongelea mtu ambaye ni roho inayosababisha aina fulani ya mateso au matatizo katika familia fulani.

Kila familia ina hivi vitu. Familia nyingi hasa za kiafrika zilijikabidhi kwa shetani kupitia milango ya mila, mfano ya ibada mizimu, miti, milima mawe nk

Mengineyo ni ushirikina uliokuja kwa sababu ya ndoa mitala.

Sasa hivi vitu vilitoa nafasi ya uharibifu kwa shetani katika familia.

Ndio maana familia nyingi ziko chini ya vifungo vingi.

1. Magonjwa
2. Umasikini
3. Uchawi na ushirikina
4. Chuki

Utajuaje kuwa hivi vipo katika familia.

Ni kupitia udhihirisho wa Magonjwa ya kurithi, uchumi duni, viburi, hasira zisizo za kawaida n.k

Na isipokuwa vimeshughulikiwa vitaendelea kizazi baada ya kizazi.

Ndiyo maana kwenye mstari wetu ule, Bwana Yesu anasema mtu mwenye nguvu atakapomwendea na kumshinda na kumnyanganya mateka yake.

Ni lazima apatikane mtu, na Mungu amekuandaa wewe kwa ajili ya familia yako.

Karibu tuombe.

1. Mshukuru Mungu kwa rehema zake juu ya familia yako. Mtukuze maana yeye ndiye Mungu wa kweli. Tamka hukumu ya Bwana juu ya miungu yote ilikuwa inafanya kazi katika familia yako.

28/12/2025
π™Ύπ™±π™±πšˆπ™Ύπ™·π™½ π™Έπ™½πš‚π™Ώπ™Έπšπ™°πšƒπ™Έπ™Ύπ™½
25/11/2025

π™Ύπ™±π™±πšˆπ™Ύπ™·π™½ π™Έπ™½πš‚π™Ώπ™Έπšπ™°πšƒπ™Έπ™Ύπ™½

Usifanye HARAKA kukionyesha/Kukizungumzia AMBACHO BADO HAKIJAKAMILIKA (Dili,Mahusiano, Fursa n.k).

Tengeneza UVUMILIVU kusubiri wakati SAHIHI.Kuna wengi ambao MAMBO YAO yameharibika baada ya kuyasema MAPEMA.Unaweza kusema ukidhani WATAFURAHIA kumbe ndio WATAKAOZUIA na KUKUHARIBIA.

π™Ίπ™΄πš‚π™·π™Ύ πšˆπ™°π™Ίπ™Ύ 𝙽𝙸 π™΅πš„π™Όπ™±π™Ύ π™Ίπš„π™±πš†π™° πš†π™΄π™½π™Άπ™Έ πš†π™°π™½π™°πšƒπ™°π™Όπ™°π™½π™Έ π™Ίπš„π™»π™Έπ™΅πš„π™Όπ™±πš„π™° 𝙺𝙰𝙱𝙻𝙰 πšˆπ™°π™Ίπ™Ύ..

π™Ύπ™±π™±πšˆπ™Ύπ™·π™½ πŸ«€π™Έπ™½πš‚π™Ώπ™Έπšπ™°πšƒπ™Έπ™Ύπ™½

Usifanye HARAKA kukionyesha/Kukizungumzia AMBACHO BADO HAKIJAKAMILIKA (Dili,Mahusiano, Fursa n.k).Tengeneza UVUMILIVU ku...
25/11/2025

Usifanye HARAKA kukionyesha/Kukizungumzia AMBACHO BADO HAKIJAKAMILIKA (Dili,Mahusiano, Fursa n.k).

Tengeneza UVUMILIVU kusubiri wakati SAHIHI.Kuna wengi ambao MAMBO YAO yameharibika baada ya kuyasema MAPEMA.Unaweza kusema ukidhani WATAFURAHIA kumbe ndio WATAKAOZUIA na KUKUHARIBIA.

π™Ίπ™΄πš‚π™·π™Ύ πšˆπ™°π™Ίπ™Ύ 𝙽𝙸 π™΅πš„π™Όπ™±π™Ύ π™Ίπš„π™±πš†π™° πš†π™΄π™½π™Άπ™Έ πš†π™°π™½π™°πšƒπ™°π™Όπ™°π™½π™Έ π™Ίπš„π™»π™Έπ™΅πš„π™Όπ™±πš„π™° 𝙺𝙰𝙱𝙻𝙰 πšˆπ™°π™Ίπ™Ύ..

π™Ύπ™±π™±πšˆπ™Ύπ™·π™½ πŸ«€π™Έπ™½πš‚π™Ώπ™Έπšπ™°πšƒπ™Έπ™Ύπ™½

NURU YA MAISHA πŸ“ŒHakuna aliyeumbwa kuwa nakala ya mwingine_  Epuka kukariri na kuzihesabu hatua za wengine, Jifunze ni kw...
23/11/2025

NURU YA MAISHA
πŸ“ŒHakuna aliyeumbwa kuwa nakala ya mwingine_ Epuka kukariri na kuzihesabu hatua za wengine,
Jifunze ni kwa namna gani wewe utaweza kufika huko unakopatamani...

πŸ”—πŸ“Œ Tambua kuwa hata mvua hainyeshi kwa kufanana kila mara; vile vile miti haikui kwa speed moja....
Hivyo basi hata wewe haupaswi kuiga na kujilinganisha na watu wengine....
kwa sababu kila mtu ana mwendo wake, imani yake na matarajio yake...

πŸ“ŒSamaki hana haja ya kutamani "mabawa" kwani hayatakuwa na faida kwake kulingana na mazingira yake aliyoumbiwa na mwenyezi Mungu....

βš™οΈHivyo na wewe usitafute kufanana na mwingine, bali Ogelea kwenye uwezo wako/ cheza kwenye uwanja wako..... Usitamani viwanja vya wengine.

> Obbyohn β™₯️ inspiration

Hongera Sarah kwa kushinda, katika shindano la tembelea Biblia kwa kuzungumza Mathayo sura ya kwanza yote bila kusoma.Mu...
29/09/2025

Hongera Sarah kwa kushinda, katika shindano la tembelea Biblia kwa kuzungumza Mathayo sura ya kwanza yote bila kusoma.

Mungu akubariki sana..

Address

Tobias Pazia
Lushoto

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tobias Pazia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share