Edna_Afya_Uzazi

Edna_Afya_Uzazi Ninawasaidia Wanawake WA Maofisini wenye changamoto ya mvurugiko wa homoni "hormone Imbalance" kwa kutumia mpangilio wa chakula na tiba lishe

NJIA RAHISI ZAIDI YA KUPEVUSHA MAYAI BAADA YA HEDHI.🤰👩‍🍼Chukua tangawizi kipande kimoja, manjano ya unga kijiko kimoja c...
12/03/2026

NJIA RAHISI ZAIDI YA KUPEVUSHA MAYAI BAADA YA HEDHI.🤰👩‍🍼

Chukua tangawizi kipande kimoja, manjano ya unga kijiko kimoja cha chai na pilipili manga ya unga kijiko kimoja.

Chemsha kwa pamoja kwa kutumia maji vikombe viwili. Chuja weka asali vijiko viwili unywe asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kabla ya kula chochote.

Tumia chai hii ikiwa ya moto baada ya kumaliza hedhi mpaka siku za hatari ziishe.

Ni nzuri sana itakusaidia pia:👇
1. Kutibu uvimbe kwenye mayai (Ovarian Cyst).
2. Kuondoa harufu mbaya ukeni.
3. Kuondoa maumivu makali wakati wa siku za hatari.
4. Kuondoa miwasho na fangasi baada ya hedhi zilizotokana aidha na hedhi yenyewe, pedi au vyote kwa pamoja.
5. Kusafisha ukuta wa mimba na kuweka sawa homoni ya Progesterone.
5. Usisahau kuleta mrejesho na wengine wajifunze na kuhamasika.🤰👩‍🍼

JINSI YA KUONGEZA UWEZEKANO WA KUBEBA UJAUZITO BAADA YA HEDHI.🤰Tafuta karafuu usage mwenyewe upate unga wake kisha chems...
12/03/2026

JINSI YA KUONGEZA UWEZEKANO WA KUBEBA UJAUZITO BAADA YA HEDHI.🤰

Tafuta karafuu usage mwenyewe upate unga wake kisha chemsha maziwa fresh kikombe kimoja.

Weka kijiko kimoja cha karafuu uliyosaga kwenye kikombe cha maziwa yaliyochemshwa.

Kunywa asubuhi kikombe kimoja kabla ya kula chochote na usiku kikombe kimoja wakati wa kulala baada ya kumaliza hedhi kwa siku 7 mfululizo.

Usiongeze chochote zaidi ya maelekezo tajwa hapo juu.❌

Itakusaidia:👇
1. Kusafisha shingo ya kizazi ili mbegu zisafiri kiurahisi.
2. Kusafisha tumbo la uzazi na kuandaa mfuko wa kizazi kupokea ujauzito.
3. Kuongeza hamu na hisia za kushiriki tendo la ndoa.
4. Kuongeza ute wa mimba.

DALILI 15 ZA HATARI KWA MWANAMKE:Kuna baadhi ya dalili ambazo wanawake huziona ni za kawaida na kuzipuuza lakini baada y...
24/02/2026

DALILI 15 ZA HATARI KWA MWANAMKE:

Kuna baadhi ya dalili ambazo wanawake huziona ni za kawaida na kuzipuuza lakini baada ya muda huona madhara makubwa yanayogharimu afya zao za uzazi.

Hapa nimekuwekea baadhi ya dalili ambazo hupaswi kuzipuuza pale zinapokutokea.👇

1. Kupata Maumivu makali chini ya kitovu yanayo ambatana na maumivu ya kiuno

2. Kuhisi maumivu na hali ya kuchomachoma wakati wa haja ndogo

3. Miwasho sehemu za siri ndani au nje ya uke

4. Kutokwa na uchafu ukeni usio wa kawaida, uchafu huu unaweza kuwa wa njano, mweupe, kijani, kahawia, au uliochanganyika na damu hizi ni dalili za maambukizi katika via vya uzazi

5. Kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

6. Kuhisi k**a kuna kitu kinasukumwa kinachouma wakati wa tendo la ndoa

7. Kutokwa na hedhi bila mpangilio

8. Kupata maumivu makali sana wakati wa hedhi

9. Kutokwa na damu ya hedhi yenye mabonge au nyeusi sana

10. Kutokwa na damu ya hedhi mfululizo bila kukata zaidi ya siku 7 na kuendelea

11. Hedhi kujirudia ndani ya mwezi mmoja zaidi ya mara mbili au tatu

12. Kutopata hedhi kwa muda mrefu wakati si mjamzito na bado hajafikia umri wa kukoma hedhi

13. Kupata vipele vinavyouma na kuwasha sehemu za siri

14. Kuvimba na kuwa mwekundu kati midomo ya nje ya uke

15. Uke kuwaka Moto.

K**a unapata baadhi ya dalili tajwa hapo juu usisite kuwasiliana nami kwa ushauri na tiba

0750451050
Tabibu Edina

Address

Bodi Ya Pamba
Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Edna_Afya_Uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share