Malolo Hospital, Tabora-Tanzania.

Malolo Hospital, Tabora-Tanzania. Malolo Hospital is a Referral Hospital located in Tabora Municipal council at Kombomasai street along Ujiji road.

Malolo Hospital provide best health services to people, is a non-Government and non-Religious affiliated organization, located in Kombomasai Street Western part of Tabora Municipality. We provide 24/7 services for both Outpatient and Inpatient, we have Emergency unit for cases which needs Emergency care, Click Services to see the list of services we offer. Away from Tabora Bus terminal for approxi

mately 2.4km, you can reach us using Private car, Motorcycle or call our Ambulance if it's an emergence case.

Bado kuna imani potofu katika jamii wanapoona mtu amepatwa na kiharusi.Siku zote kuwa mjanja, mtu wa kujaribu kufikiria ...
23/04/2025

Bado kuna imani potofu katika jamii wanapoona mtu amepatwa na kiharusi.
Siku zote kuwa mjanja, mtu wa kujaribu kufikiria zaidi ya waliokuzunguka, Kiharusi sio swala la kulogwa.
Inashauriwa mtu ajue presha yake inaendeleaje kadiri umri unavyozidi kuongezeka ili kuweza kudhibiti Shinikizo la juu la 🩸ambayo husababisha Kiharusi isiporatibiwa vizuri.

MOJA YA VISABABISHI VYA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU:
🩸 Umri.
🩸 Kurithi 🧬
🩸 Uzito kupindukia ⚖️
🩸 Matumizi ya Chumvi🧂kupita kiasi.
🩸 Kutofanya mazoezi.🏋️
🩸 Matumizi ya Pombe🍺

Kubadili mtindo wa maisha, k**a kula mlo kamili, kuacha au kuounguza matumizi ya pombe na sigara, kutumia chumvi kwa kiwango sahihi, kufanya mazoezi nk, huweza kusaidia kupunguza hatari ya kupata Shinikizo la juu la damu, kwa baadhi ya watu, bado itawabidi watumie dawa.

NB:
SHINIKIZO LA JUU LA DAMU HUTAMBULIKA TU PALE AMBAPO MGONJWA AMEPIMA PRESHA KWA SIKU ZAIDI YA MOJA NA KUSOMEKA 140/90 mmHg au zaidi kwa kila siku aliyopimwa.

⚠️
Presha ni kitu cha kimya kimya, k**a hujapima, usidhubutu kusema sina.

Usikae na tatizo ambalo linatibika.Usisubiri hadi waseme umechelewa.Nakili tarehe husika na shida uliyonayo.Piga simu k*...
06/04/2025

Usikae na tatizo ambalo linatibika.
Usisubiri hadi waseme umechelewa.

Nakili tarehe husika na shida uliyonayo.
Piga simu k**a utahitaji maelezo zaidi.

Usisahau kuanzia mwezi wa tano 2025,
Kliniki za madaktari bingwa zitakuwepo kila jumamosi.

Malolo Hospital, Tumaini kwa Wote❣️

Jitokeze mwanaume, usiendelee tena kuumia kisirisiri, tunakujali mkubwa💪
27/03/2025

Jitokeze mwanaume, usiendelee tena kuumia kisirisiri, tunakujali mkubwa💪

Habari yako mwanafamilia wa ukurasa wetu wa Malolo Hospital.Leo tunayofuraha kukusogezea hizi ratiba ambazo tunaamini ml...
21/03/2025

Habari yako mwanafamilia wa ukurasa wetu wa Malolo Hospital.
Leo tunayofuraha kukusogezea hizi ratiba ambazo tunaamini mlizisubiria kwa muda mrefu sasa.
Basi sasa ni rasmi ENT ni mwezi wa nne na Huduma ya Upasuaji wa kurekebisha Midomo sungura ni mwezi May.
Tunakuomba upige simu kudhibitisha ujio wako.

Pia mwezi wa sita tutakua na kambi ya Macho, Daktari bingwa atakuwepo kutoa huduma kwa wenye changamoto za macho. Tarehe tutawatangazi haraka iwezekanavyo.

SASA NI RASMI KABISA:🫄🏾: Nyote, mnakaribishwa🫂🩸: Pia mnakaribishwa 🫂🧬: Hamjasahaulika🫂🤧: Njooni pia🫂Ni wakati sahihi kwa...
07/03/2025

SASA NI RASMI KABISA:

🫄🏾: Nyote, mnakaribishwa🫂
🩸: Pia mnakaribishwa 🫂
🧬: Hamjasahaulika🫂
🤧: Njooni pia🫂

Ni wakati sahihi kwako kuamua kuagana na changamoto za Mfumo wa Uzazi.

✅Shida kubeba ujauzito, Ujauzito Kuharibika au Kliniki ya Wajawazito.
✅ Mzunguko wa hedhi kutokua sawa, kupitiliza siku au kutokwa na mabonge ya Damu.
✅ Kuwashwa, Kutokwa na harufu au uchafu sehemu za Siri🔒
✅UTI ya kujirudiarudia.

Chukua hatua, ushajaribu matibabu mengi, sasa njoo upate matibabu sahihi🫂

Wewe hujafurahia?Tunawakaribisha, mje mjionee tulichoamua kukifanya kwaajili ya Wanawake, Hakika itakua ni kitu cha Kipe...
02/03/2025

Wewe hujafurahia?
Tunawakaribisha, mje mjionee tulichoamua kukifanya kwaajili ya Wanawake, Hakika itakua ni kitu cha Kipekee😋😋

Tumezingatia Usalama na kujiamini kwako hata katika kuelezea changamoto zinazokusibu, ni kwa namna gani?
Jibu utaliona ukija😊😊

Karibu k**a unashida ya Kubeba Ujauzito, Mzunguko wako wa Hedhi haupo sawa, Unatokwa na Uchafu wenye au usiokua na harufu sehemu za Siri, Unasumbuliwa na magonjwa ya Zinaa.

Karibu uje kuyapungia mkono👋🏾
AFYA YAKO YA UZAZI, NI BUSTANI NA WATUMZA BUSTANI HIYO NI Malolo Hospital .

🌹 Mwezi Machi ni Mwezi maalum kwa wanawake wote duniani, ni siku ya kuenzi mchango na nafasi ya mwanamke katika jamii an...
25/02/2025

🌹 Mwezi Machi ni Mwezi maalum kwa wanawake wote duniani, ni siku ya kuenzi mchango na nafasi ya mwanamke katika jamii anayoishi, ndio ni jamii unayoshi.

🫂 Nasi kwa kutambua hilo, tarehe 03 Machi 2025, kutakua na taarifa nzuri kwa wanawake wote wa Mkoa wa Tabora na Mikoa ya Jirani.

😋 Usikose kuwa karibu na kurasa zetu za Kijamii, kutakua na Tangazo Maalum😊

Maleria inaepukika, jiweke salama kwa kuchukua hatua zifuatazo:1. Fukia madimbwi ya maji. Kuzuia 🦟 kuzaliana.2. Fyeka ma...
27/01/2025

Maleria inaepukika, jiweke salama kwa kuchukua hatua zifuatazo:
1. Fukia madimbwi ya maji. Kuzuia 🦟 kuzaliana.
2. Fyeka majani karibu na makazi.
3. Ziba mianya ya mbu kuingia ndani.
4. Tumia dawa za kuua mbu.
5. Lala kwenye Chandarua.
6. Ukiona dalili za homa, usimeze dawa, ni vizuri sana kujakufa ya vipimo na kudhibitisha uwepo wa maleria ndio utumie dawa.

KARIBU MALOLO HOSPITAL
Matumaini yanaishi Hapa.

Saratani ni ugonjwa katili sana.
17/01/2025

Saratani ni ugonjwa katili sana.

31/12/2024

Happy New Year Of 2025.

Address

P O Box Tabora-Tanzania
Tabora
81

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Malolo Hospital, Tabora-Tanzania. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category