22/12/2022
IJUE NYOTA YAKO
Ndugu zangu hii ndio itakua mada yetu ya kwanza ktk kikundi hichi ktk kuweza kusaidiana maarifa juu ya elimu hii ya nyota ambayo mimi nitakua nikizungumzia sana masuala mazima ya mahusiano ya kimapenzi sambamba na nyota zetu zinavyosema ili ujue nani wa kuwa nae ili uweze kufunga nae NDOA na maisha yakaenda vizuri bila kuwepo na mabalaa wala mikwamo ya riziki,watoto n.k
Nyota ni Elimu ya Sayansi ya kiroho ambayo inatumika Dunia nzima. Kila mtu katika Dunia akitaka asitake, aamini au asiamini atakuwa amezaliwa katika moja wapo ya nyota hizi 12 ambazo zimechomoza wakati anazaliwa.
Na ieleweke kuwa elimu ya nyota sio kwamba ni Imani ya dini fulani hapana isipokuwa ni maarifa k**a ilivyo maarifa mengine k**a physics au baiolojia isipokuwa hii imebase zaidi katika mambo ya kiroho, hivyo ni elimu ya kusoma k**a zilivyoelimu zingine.
Humo humo ndani ya nyota ndio kuna maelekezo ya wewe ni vipi unaweza kupata kitu fulani au tukio fulani kwa kufuata muongozo upi, na kufanya kipi. Ili uweze kufanikisha jambo fulani na pia kwenye nyota hiyo utaweza kujua mambo unayotakiwa kuyafanya kila siku au kuyapangilia ili uweze kujua vipi unaweza kufuzu kinyota.
Karibu uweze kujua na kujifunza au kuongeza maarifa ieleweke kuwa nyota hizi sio mazao ya dini fulani hapana utaonekana usiyeelewa ikiwa utaendelea kuoanisha elimu ya unajimu na dini yoyote ile.
Nyota hizo zina athari kubwa katika maisha yako hasa ukitenda kinyume na matakwa ya nyota hiyo. Mfano ukifanya biashara ambayo siyo ya nyota yako, biashara hiyo itaathirika, au ukimchukua mpenzi ambaye sio wa nyota yako bila kujua, mtapendana lakini mwisho utakuwa mbaya, au ukifanya mambo ambayo nyota yako haikubaliani nayo mambo yako yatakwama na utajiona una mikosi.
Nimeandika maelezo haya ili kuweza kuwasaidia, kufahamu undani kuhusu nyota yako, mambo yanayohusu nyota hiyo, ikiwemo siku yako ya bahati, rangi, namba ya bahati, nani wa kushirikiana nae kimapenzi, kikazi, kibiashara, jiwe gani uvae, manukato gani yanakufaa, mafusho ya nyota yako, mambo muhimu ya kufanya, Kipaji chako, mambo ya kujiepusha nayo, chakula chako, magonjwa yako, mpaka nchi za kukaa k**a una uwezo.
Ukifuatilia vizuri na kwa makini utaweza kujiepusha na matatizo mengi sana ya kimaisha, Ndoa zitadumu, biashara zitashamiri, na Mikosi itakuondokea.
👨🏽💻LIKE👨🏽💻COMMENT👨🏽💻SHARE👨🏽💻
0710265280/piga simu ushauri zaidi na tiba/IJUE NYOTA YAKO
Ndugu zangu hii ndio itakua mada yetu ya kwanza ktk kikundi hichi ktk kuweza kusaidiana maarifa juu ya elimu hii ya nyota ambayo mimi nitakua nikizungumzia sana masuala mazima ya mahusiano ya kimapenzi sambamba na nyota zetu zinavyosema ili ujue nani wa kuwa nae ili uweze kufunga nae NDOA na maisha yakaenda vizuri bila kuwepo na mabalaa wala mikwamo ya riziki,watoto n.k
Nyota ni Elimu ya Sayansi ya kiroho ambayo inatumika Dunia nzima. Kila mtu katika Dunia akitaka asitake, aamini au asiamini atakuwa amezaliwa katika moja wapo ya nyota hizi 12 ambazo zimechomoza wakati anazaliwa.
Na ieleweke kuwa elimu ya nyota sio kwamba ni Imani ya dini fulani hapana isipokuwa ni maarifa k**a ilivyo maarifa mengine k**a physics au baiolojia isipokuwa hii imebase zaidi katika mambo ya kiroho, hivyo ni elimu ya kusoma k**a zilivyoelimu zingine.
Humo humo ndani ya nyota ndio kuna maelekezo ya wewe ni vipi unaweza kupata kitu fulani au tukio fulani kwa kufuata muongozo upi, na kufanya kipi. Ili uweze kufanikisha jambo fulani na pia kwenye nyota hiyo utaweza kujua mambo unayotakiwa kuyafanya kila siku au kuyapangilia ili uweze kujua vipi unaweza kufuzu kinyota.
Karibu uweze kujua na kujifunza au kuongeza maarifa ieleweke kuwa nyota hizi sio mazao ya dini fulani hapana utaonekana usiyeelewa ikiwa utaendelea kuoanisha elimu ya unajimu na dini yoyote ile.
Nyota hizo zina athari kubwa katika maisha yako hasa ukitenda kinyume na matakwa ya nyota hiyo. Mfano ukifanya biashara ambayo siyo ya nyota yako, biashara hiyo itaathirika, au ukimchukua mpenzi ambaye sio wa nyota yako bila kujua, mtapendana lakini mwisho utakuwa mbaya, au ukifanya mambo ambayo nyota yako haikubaliani nayo mambo yako yatakwama na utajiona una mikosi.
Nimeandika maelezo haya ili kuweza kuwasaidia, kufahamu undani kuhusu nyota yako, mambo yanayohusu nyota hiyo, ikiwemo siku yako ya bahati, rangi, namba ya bahati, nani wa kushirikiana nae kimapenzi, kikazi, kibiashara, jiwe gani uvae, manukato gani yanakufaa, mafusho ya nyota yako, mambo muhimu ya kufanya, Kipaji chako, mambo ya kujiepusha nayo, chakula chako, magonjwa yako, mpaka nchi za kukaa k**a una uwezo.
Ukifuatilia vizuri na kwa makini utaweza kujiepusha na matatizo mengi sana ya kimaisha, Ndoa zitadumu, biashara zitashamiri, na Mikosi itakuondokea.
👨🏽💻LIKE👨🏽💻COMMENT👨🏽💻SHARE👨🏽💻