25/05/2026
Taasisi za Serikali zina wajibu wa kuhakikisha malimbikizoTaasisi za Serikali zina wajibu wa kuhakikisha malimbikizo ya madeni yanatatuliwa kwa wakati, kwani taasisi zinazotoa huduma kwa Serikali zinapokosa kulipwa hupunguza ufanisi wa kazi, ubora wa huduma na uwezo wa kuendelea kuhudumia wananchi ipasavyo.
Uwajibikaji wa kifedha ni msingi wa maendeleo endelevu na utoaji bora wa huduma kwa jamii.